Nimepata Dv 1 ya 14 na Kazi yangu ya Houseboy inanilipa...

Nimepata Dv 1 ya 14 na Kazi yangu ya Houseboy inanilipa...

Kamwe usiwaamini watu weupe!
Mzungu hawezi kuwa mwema sana,eti akakuonea huruma,akusaidie!
Well,wanaenda nawe Finland kufanya nini?
Usije jikuta unaenda kufanyishwa kazi za kudhalilishwa kama "porn" na kujuta!
Rudi shule dogo
 
Nenda nao ila cha muhimu usome ukiwa huko. Elimu utakayopata huko na exposure itakusaidia sana hata utakapokua tayari kurudi kuishi bongo. Kila la heri.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kamwe usiwaamini watu weupe!
Mzungu hawezi kuwa mwema sana,eti akakuonea huruma,akusaidie!
Well,wanaenda nawe Finland kufanya nini?
Usije jikuta unaenda kufanyishwa kazi za kudhalilishwa kama "porn" na kujuta!
Rudi shule dogo
Usimtishe bana. .Mwombee Mungu na azidi kumtegemea.
 
Jitahidi usimuache Mungu wako aliekutoa ulipotoka na kamwe hatokuacha. Jitume and uwe focused na mambo ya maendeleo. .usijisahau uwe na msimamo na pia uweke akiba
 
Ninachokiona tambua shule ni muhimu pili fahamu Finland unaenda kufanya nini! Ukijua yote hayo chance ya kutusua nikubwa unalo takiwa kujua ni hivyo tu basi.
 
Elimu ni ufunguo wa Maisha Bali pesa ni Ufunguo Malaya ... Pesa ndo kila kitu
 
Kamwe usiwaamini watu weupe!
Mzungu hawezi kuwa mwema sana,eti akakuonea huruma,akusaidie!
Well,wanaenda nawe Finland kufanya nini?
Usije jikuta unaenda kufanyishwa kazi za kudhalilishwa kama "porn" na kujuta!
Rudi shule

dunia ina mambo sana,unayoyasema yapo japo si kwa kila umdhaniaye!dogo kamata fursa mtangulize mungu!
 
Wambie hao wazungu kilicho moyoni mwako n waskie watasemaje n ukiona wanapinga kuhusu shule wakwepe bt waeleze hata leo ili usichelewe skul
 
Nenda nao huko utasoma huko mtu asikuambie kitu ukika hapa nani atakusomesha usijivunge kabisa nani ajuaye ndio kutoka huko usipoteze nafasi hiyo kabisa mwanangu
 
Nenda Kwanza Katafute Pesa! Sio Lazima Usome Sasa Elimu Ipo Tu Mdogo Wangu! Then Unaweza Kupata Chance Ya Kusoma Mbele Ukawa Umeongeza Cv Yako! Komaa Nao Wackilize Wanachokitaka! Jenga Uhusiano Nao Zaid
 
Back
Top Bottom