Nimepata Gari namba B injini nzima kuliko zenye namba D. Nimeshangaa!

Nimepata Gari namba B injini nzima kuliko zenye namba D. Nimeshangaa!

Ukishakua na gari ni marufuku kutongoza, madam umempa lift, mfanyie utani utani wenye ukweli ,shusha viti, mle .


Turudi kwenye Hoja ya msingi, Unaweza kutongoza demu mwenye Gari Kali kuliko yako??.
Mh daktari ondoa hiyo dhana kichwani ,mwenzako nilidhani hivyo na siku moja nikkampa dada lift nikanyooka kwenye point ya kutaka tufanye ndani ya gari dada akawa Kama anakubali Kama anakataa Mara kasema poa ,kumbe mitaa tuliyokuwepo ni mwenyeji kiasi katuma meseji bila Mimi kujua kwa wapambe nuksi .

Nimeaimamisha gari na abdala kichwa wazi ameahasema hapa hatutoki bila mwali .

Mengine siku nyingine Ila kwa ufupi ni kuwa walinipiga vibao wale wanakijiji
 
Nimeokota katoyota vitz namba B Injini na body ni nzma hadi nimeshangaa jamaa sijui alikuwa anaitunzaje still nawashauri.unaponunua gari usikimbilie.namba kagua ubora wa injini na body kuna gari namba D zimechoka vibaya na kuna na c na b ni nzma kutokana na matunzo uchaguzi ni wako
Duuh
 
Nimeokota katoyota vitz namba B Injini na body ni nzma hadi nimeshangaa jamaa sijui alikuwa anaitunzaje still nawashauri.unaponunua gari usikimbilie.namba kagua ubora wa injini na body kuna gari namba D zimechoka vibaya na kuna na c na b ni nzma kutokana na matunzo uchaguzi ni wako
Mkuu, katika muktadha wa fasihi, unazungumzia gari kama gari au unazungumzia wadada wa 2000 vs vizee vya 1990s na papuchi zao (ballot box)
 
Ulinusa stick ya engine oil? Usije kuwa umepigwa yenye ugolo
 
Back
Top Bottom