MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Mh daktari ondoa hiyo dhana kichwani ,mwenzako nilidhani hivyo na siku moja nikkampa dada lift nikanyooka kwenye point ya kutaka tufanye ndani ya gari dada akawa Kama anakubali Kama anakataa Mara kasema poa ,kumbe mitaa tuliyokuwepo ni mwenyeji kiasi katuma meseji bila Mimi kujua kwa wapambe nuksi .Ukishakua na gari ni marufuku kutongoza, madam umempa lift, mfanyie utani utani wenye ukweli ,shusha viti, mle .
Turudi kwenye Hoja ya msingi, Unaweza kutongoza demu mwenye Gari Kali kuliko yako??.
Na bodi likitepeta linaingiza vumbi utafanyajeEngine unaweza kununua Tu na ukafunga sikuhizi hizo mambo ni kawaida Tu.
Engine zipo nyingi Sana mtaa wa shaurimoyo
Body ni rahisi Sana kutengenezaNa bodi likitepeta linaingiza vumbi utafanyaje
Umri wako mkuu.Ukienda kutongoza dem na namba B wanakuona wa zamani. Unaishi mkoa upi labda
Ni sehemu ya party au vip?Umri wako mkuu.
Unahisi kutongoza ndio kila kitu kwenye maisha?
DuuhNimeokota katoyota vitz namba B Injini na body ni nzma hadi nimeshangaa jamaa sijui alikuwa anaitunzaje still nawashauri.unaponunua gari usikimbilie.namba kagua ubora wa injini na body kuna gari namba D zimechoka vibaya na kuna na c na b ni nzma kutokana na matunzo uchaguzi ni wako
Mkuu, katika muktadha wa fasihi, unazungumzia gari kama gari au unazungumzia wadada wa 2000 vs vizee vya 1990s na papuchi zao (ballot box)Nimeokota katoyota vitz namba B Injini na body ni nzma hadi nimeshangaa jamaa sijui alikuwa anaitunzaje still nawashauri.unaponunua gari usikimbilie.namba kagua ubora wa injini na body kuna gari namba D zimechoka vibaya na kuna na c na b ni nzma kutokana na matunzo uchaguzi ni wako