Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,301
Mwenye gari hii ani- PM, tuelewane bei.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimepata zali ya gari kwa kiasi cha laki mbili. Aina ni mark ii muundo wa kizamani pia linatembea.
Mnyama beetle!love its purring!brrrrrrrrr!brrrrrrrr!nyie mnambishia mwezenu hamjamuuliza hilo gari la lakin mbili kwa matumizi gani, mnafikiri kila gari ni lakutembelea tu, magari yana matumizi mengi bwana.
View attachment 167974
Hata mie ninalo limaki two pale nje
limebakia ni watoto wanashinda wakichezea humo;
Kama una laki mbili ingine leta nikupe tena gari la pili, loooh.
hongera kwa kupata gari
safi sana mkuu.
Sasa sikia mimi ni fundi wa magari ni pm nikupe namba zangu.
Gari yako kwa vyovyote itakuwa ni mark ii gr,ingine yake ni 1s ni 6 piston old system wire, ina kabureta ya lucas, diff spring lala, gear box manual,pia hata rangi yake gari ni nyeupe.
Broo nipe kazi spea zipo hata ukitaka roter utapata
Nakuunganisha na Mamndenyi mkuu usijali
hongera kwa kupata gari
Miss chagga Asaante!