didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
saiv najisemea hapa nimeacha ngono zembe aise Mungu anitangulie ktk hili nikipona niyafuate haya nilioyasemaAcha kuwachafua wanawake wew , punguza umalaya wako🤧🤧
UTI kajitubu mapemaSamahanini wakuu. Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana ,pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa. Msaada wenu huu utakua ugonjwa gan?
Pole sana, wahi hospitali kabla ya kuanza kukojoa dagaaSamahanini wakuu. Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana ,pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa. Msaada wenu huu utakua ugonjwa gan?