Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
With hot wires.Device connected ☺
Walisemaga hivyo hivyo wenzako 😂saiv najisemea hapa nimeacha ngono zembe aise Mungu anitangulie ktk hili nikipona niyafuate haya nilioyasema
Tayari umeunganishwa kwenye gridiSamahanini wakuu.
Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana.
Pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa.
Msaada wenu huu utakua ugonjwa gani?
Hali ikiwa mbaya muone waziri wa afya..Samahanini wakuu.
Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana.
Pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa.
Msaada wenu huu utakua ugonjwa gani?
Nenda hospitali, huo ni ugonjwa baada ya ze utamu, a.k.a ngono zembe yaani nyama kwa nyama,(live wire)Samahanini wakuu.
Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana.
Pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa.
Msaada wenu huu utakua ugonjwa gani?
Nenda ukapime magonjwa ya zinaa, kama ni ukimwi uanze dawa mapema ila hope hujaathirika ni gonoSamahanini wakuu.
Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana.
Pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa.
Msaada wenu huu utakua ugonjwa gani?
Gono Hilo wahi hospital usisahau kupima HIVSamahanini wakuu.
Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana...
Hii ni ajali kazini lakini ya kujitakia, masikini alivyo ona pisi kali akadhani yaliyomo yamoGono Hilo wahi hospital usisahau kupima HIV
UKIMWI huoSamahanini wakuu.
Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana.
Pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa.
Msaada wenu huu utakua ugonjwa gani?
OAHuku Gona na UTI kule CHAPUTA nako misiba tukimbilie wapi sie wenye ugwadu...?