Nimepata homa kali baada ya kufanya mapenzi

Nimepata homa kali baada ya kufanya mapenzi

saiv najisemea hapa nimeacha ngono zembe aise Mungu anitangulie ktk hili nikipona niyafuate haya nilioyasema
Walisemaga hivyo hivyo wenzako 😂

Jitahidi ule vizuri matunda n mboga za majani kwa sana na usisahau kufanya mazoezi
 
Samahanini wakuu.

Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana.

Pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa.

Msaada wenu huu utakua ugonjwa gani?
Tayari umeunganishwa kwenye gridi
 
Pole mkuu nenda kituo cha kutolea huduma za afya kilichokaribu nawe. Mweleze uwazi hayo yatapita
 
Samahanini wakuu.

Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana.

Pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa.

Msaada wenu huu utakua ugonjwa gani?
Hali ikiwa mbaya muone waziri wa afya..
 
Samahanini wakuu.

Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana.

Pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa.

Msaada wenu huu utakua ugonjwa gani?
Nenda hospitali, huo ni ugonjwa baada ya ze utamu, a.k.a ngono zembe yaani nyama kwa nyama,(live wire)
 
Samahanini wakuu.

Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana.

Pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa.

Msaada wenu huu utakua ugonjwa gani?
Nenda ukapime magonjwa ya zinaa, kama ni ukimwi uanze dawa mapema ila hope hujaathirika ni gono
 
images (19).jpeg
 
Samahanini wakuu.

Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana.

Pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa.

Msaada wenu huu utakua ugonjwa gani?
UKIMWI huo
 
Back
Top Bottom