Nimepata jamani nimepata

umesearch muda mrefu. how many have you met before hadi kumpata huyo. wote hao wamekupitia na kukutupa, pole hadi umempata huyo. omba Mungu huyo asikuache. ajabu ya wanawake ukiona anakwambia "we are in the early stage of malovee" jua tayari ameshamvulia pichu na jamaa analinganisha mbunyee yake na zile zilizopita sio muda atakupiga chini kama umeshavua. mke sio sura, siri yake tunaijua sisi wenyewe wanaume. wanawake wengi waliopitiwa sana hata kama wakiwa wazuri na wana tabia nzuri, ni wa kuwakimbia kama ukoma.huwa hawaridhiki na ni kama majini mahaba.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] makavu live Cc:m[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
dada alichezea masharubu ya muhenga mmoja hivii...laiti kama asingejichetua vile haya yote yangebaki sirini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupata Mme jf ni bahati ya mtende ati!!!cio kwa kujichetua hko Cc:rubii
 
wishing you well. Take it slow and tread carefully. JF is a Jungle my friend.
Rumble in the Jungle [HASHTAG]#Karucee[/HASHTAG] watu wanufukua mashimo ya mfalme suleiman huku
 
Team roho mbaya imefanya juhudi kubwa za kuufufua huu uzi. Toka asbuhi, wengine wanajaribu wanafuta post zao naona hii kama inaelekea kutiki hivi
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Ngoja tuendelee kufukua makaburi ya wahenga tuu.

Cc Trudie

Sent from my Iphone 7 plus using JamiiForums app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…