Nimepata jamani nimepata

ha ha ha ha kazi kweli kweli naona bibie ali jitaki yote aya una anzaje kuleta dharau kwa wahenga..

matokeo yake ndo kama aya mtotot kaufyata ana chungulia juuu juu kama Arsene Wenger!!

Sent from my iphone 6s using Jamii Forum Mobile app
 
Hivi JF nikinchi ndani ya Tanzania au ? maana naona tu watu wanafanya yao aisee 🙂 so mdada keshavua mtu wake ila hum labda hebu ngoja na mimi nisikilizie zali

jaman lakin sijui maana wadada wengi wa hum yaani wamekaa kaa kama wezi 🙂 yaani wakali wakali wakorofi korofi wajuwaji juwaji hawana ukike yaani full makamanda ivi nyie wadada wa hum huwa mnaishi Tanzania hii hii au ?

yaani mdada hum anakuwa jasir mnoo ila mtaani wako kimya mno sijui niwachawi
 
kakaa hakuna mkate mgumu mbele ya chai

Sent from my ZTE Kis3 max using JamiiForums mobile app
 
nawaogopa wahengaaa..ama kweli ya kale dhahabu

Sent from my ZTE Kis3 max using JamiiForums mobile app
Halafu bora achokoze sehemu aliyochokozwa.
Ni code zilikuwa zinatembea mweee akajishuku ni yeye wakatii walaa, sasa akaanza mipovu na mhenga ha ha ha yaani majimaji war.
Watu wakaamua kumwonyeshea.. Dishuuuuua
 
Halafu bora achokoze sehemu aliyochokozwa.
Ni code zilikuwa zinatembea mweee akajishuku ni yeye wakatii walaa, sasa akaanza mipovu na mhenga ha ha ha yaani majimaji war.
Watu wakaamua kumwonyeshea.. Dishuuuuua
daaahhh...[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mh haya ni matokeo mojawapo ya code zilizokuwa zinatembea kwenye uzi flani hivi???? Hakyanani JF ni hatari.....
 



jaman nmecheka! dah! hahahahahah
 
Inawezekana kabisa zile CC: Smart911, CC: mahondaw watu mlikuwa hamzipendi, mlikuwa mnakerwa wakiitana au nini? Why hatred???

Hakuna hata anaewachukia kujishuku kwao tu!!
Cc: Cc tulikua tunachukulia kawaida siunajua mambo ya penzi jipya???
Ila sasa kero ilianzia mambo ya faragha kuyaandika katikati ya thread za watu.
Wewe ukato.mba.ne huko uje usifiane kwenye thread ustaarabu gani?
thread ya msiba iloveyou kiuno vinafaa nini?!
Lakini kote huko wahenga tuliwapotezea wakizoeana vikojoleo watanyamaza t
u
Sasa juzjuz wahenga walikua wanajadiliana code zikampita akajua ni yeye kumbe walaaa akabaki na kirohopapo
Jumamosi ndio kuliamsha dude wahenga waliposogea akakimbiaaaaaa.....
Sasa kakimbia lakini kivuli chake kinamfuataaa


NB:hakuna mtu wakumchukia ila amekua kiburudisho chawahenga
Cc: Evelyn Salt Maserati Sakayo dark angel geniveros
 
Rubii mhenga wewe mmmh!
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] kweli mimi binafs sina chuki na mtu kwanza nafurahi kuona jf inakutanisha watu wawe kwenye mahusiano ya dhati

cha msingi ni privacy...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…