jaman nmecheka! dah! hahahahahah
We si ndio mwenyekiti naomba niwe katibu basiNawashauri chukueni fomu kwa Heaven Sent mjoin team roho mbaya, naona mna vigezo
Hahaahaha @Allepo Saint Ivuga
Hahahahaha kaka tupe ushauri labdaHivi JF nikinchi ndani ya Tanzania au ? maana naona tu watu wanafanya yao aisee 🙂 so mdada keshavua mtu wake ila hum labda hebu ngoja na mimi nisikilizie zali
jaman lakin sijui maana wadada wengi wa hum yaani wamekaa kaa kama wezi 🙂 yaani wakali wakali wakorofi korofi wajuwaji juwaji hawana ukike yaani full makamanda ivi nyie wadada wa hum huwa mnaishi Tanzania hii hii au ?
yaani mdada hum anakuwa jasir mnoo ila mtaani wako kimya mno sijui niwachawi
Aisee usimtag Aleppo, akiliamsha dude hapa hapatoshi kabisaaa.Hahaahaha @Allepo Saint Ivuga
Hongera sana,hao wakulima ndio safi,ujiandae tu wakati wa kuvuna mpunga,itakubidi usahau kupaka cream kwa muda....God is great kwakweli.
As I searched for mume mume, I thank his aboundant blessings over me.
He gave me a gently and wonderful man ever met before.
We are in the early stage of malovee but i'm certainly sure that he's loving and caring one.
Naahidi kukupenda na kujipenda katika hali yoyote na wakati wowote na kuishi nawe kwa amani bila ugomvi.
Its the way you teach me, warn me and definitely got along with me.
I love you darling.
You really make my heart bampbamp.
Nakupenda sana mkulima wangu
FINIR.
Cc hiyo vepe???Inasikitisha sanaa
Cc Smarty
HahahahaCc hiyo vepe???
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
umesearch muda mrefu. how many have you met before hadi kumpata huyo. wote hao wamekupitia na kukutupa, pole hadi umempata huyo. omba Mungu huyo asikuache. ajabu ya wanawake ukiona anakwambia "we are in the early stage of malovee" jua tayari ameshamvulia pichu na jamaa analinganisha mbunyee yake na zile zilizopita sio muda atakupiga chini kama umeshavua. mke sio sura, siri yake tunaijua sisi wenyewe wanaume. wanawake wengi waliopitiwa sana hata kama wakiwa wazuri na wana tabia nzuri, ni wa kuwakimbia kama ukoma.huwa hawaridhiki na ni kama majini mahaba.
Khaaa... we mwana wewe. Hebu twende PM kwanza nikakuambie kitu changuHuu uzi hakosekani asprin,Maserati. Ubuyu utawaua