Nimepata jamani!!!!!

Shost, we una mume nije kupga hodi?! Nadhani utanifaa...

aaah bana sibiria hata ka mwezi kapite yani ndo kwanza ndoa inaanza nawewe unaomba uhawara ..........ngoja utapata ila sharti la kwanza uwe na mke na pili umuachie mwingine naye achakachue kidogo ka mke kako
 
Kila la kheri, japo mambo yameenda kama mwendo wa kichina.
 
Kazi yako wewe ni kuja tu. Kukagua ni kazi yangu.

Lazma nijue ukaguzi huo unahusu kiungo gani ili kikae mkao wa kukaguliwa,kama utumbo nsile ugali wala makande,ushanfehemu!!!
 
aaah bana sibiria hata ka mwezi kapite yani ndo kwanza ndoa inaanza nawewe unaomba uhawara ..........ngoja utapata ila sharti la kwanza uwe na mke na pili umuachie mwingine naye achakachue kidogo ka mke kako

hapo red ulikusudia sidiria au subiria?
 
Kila la kheri, japo mambo yameenda kama mwendo wa kichina.

mBONA MCHINA NDIO DILI SIKUHIZI.... mtu akienda dukani akiuliza eg. kiatu sh ngapi ...anaambiwa laki moja na mchina ipo elfu ishirini (remember its look the same) anasema nipe mchina we vip bana hiyo ni deal kwa sasa mjomba.....mtu anakuwa na **** , ziwa, kope, kucha vyote mchina bado utasema mchina hana deal hapa town we acha bana
 
aaah bana sibiria hata ka mwezi kapite yani ndo kwanza ndoa inaanza nawewe unaomba uhawara ..........ngoja utapata ila sharti la kwanza uwe na mke na pili umuachie mwingine naye achakachue kidogo ka mke kako

mbona wanizuia bahati mwenzako? Duh, wataka ufaidi pekee.... Nipgie ngoma ndogo kwa SHOST...Pls
 
nasubiri kadi ya mchango wa harusi,mimi nitakuchangia
 

Wakuchakachua siku moja??? Mbona ndogo sana kusema unamlove huyo baba watoto mtarajiwa??? Hebu angalia vizuri aisee!!
 
nasubiri kadi ya mchango wa harusi,mimi nitakuchangia

Bado kuna watu wana fikra za kuchangiana kwenye harusi duh

Wakuchakachua just be careful..Love with your eyes wide open. Listen careful to your inner-self, don't say every voice you hear is from GOD nope it can be deceptive from devil also. Dont get married out of desperation , why rush ? take time to ponder your choices and let GOD confirm it day by day not by mere photos or calls.
Good Luck.
 

Ulipotea ndugu......karibu tena.
 
biashara asubuhi bibie jioni mahesabu.
one day yatosha sana tu kumzimikia mtu

i mean it dear,
Sidhan kama decision will take more than a day!
anaoneka kuwa responsible Men na kama nilivyosema all factors will reman constant na sitoangalia sura!
bali uhalisia wa maisha.........
 
Ckuhizi hatuchangii harusi!

Nachukua fursa hii kwa niaba ya mods wote kuwatakia maisha mema.
Mzae watoto 20 tu, 10 majike (yawe ma-CD ujengewe majumba) na madume 10 (yawe majambazi uletewe mahela ya haja)

God bless
 
hongera sana!
mwombe mungu mambo yaende sawa
 

hallow baby,
nilikuwa nasubiri tu wadau humu wajikanyage na nione ni namna gani wanavyopenda kudandia vya watu!
Nipo mama, waeleze waaache kabisa kukufatafata na kukusumbua,
tupo pamoja sasa, nothing gona put us apart!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…