Nimepata jamani!!!!!

hallow baby,
nilikuwa nasubiri tu wadau humu wajikanyage na nione ni namna gani wanavyopenda kudandia vya watu!
Nipo mama, waeleze waaache kabisa kukufatafata na kukusumbua,
tupo pamoja sasa, nothing gona put us apart!

Nadhani wana JF mmeisoma hii
 

:israel::israel::israel::israel::baby::baby::baby::baby::baby:Full kizunguzungu!!
 
Nadhani wana JF mmeisoma hii

Baby, nime ku PM
Sijui umeona?
hebu nenda kwa PM, tutete kidogo, si unajua hapa hawachelewi kutuharibia!!!
wala usihofu dear, wataelewa na kuisoma taratibu!!
 
:israel::israel::israel::israel::baby::baby::baby::baby::baby:Full kizunguzungu!!

kizungu zungu utakuwa nacho wewe ,
la mkosaji hilo,
si ndio tushapendana hivo!!!!!!!
 
kizungu zungu utakuwa nacho wewe ,
la mkosaji hilo,
si ndio tushapendana hivo!!!!!!!
tenda tarehe nane.... matokeo tarehe kumi... tasavali mzee mwenzangu.. lazima nione kihindihindi!!!
 
tenda tarehe nane.... matokeo tarehe kumi... tasavali mzee mwenzangu.. lazima nione kihindihindi!!!

Unajua kiongozi huku JF kuna biashara flani hivi..... watu wanachakachuliwa wao wanakuja kutamba wamepata waume....Subiri atakuja hapa na thread "Mume niliyempata ananiliza....Msaada wana JF" Nasi kama kawaida yetu hatutachoka kumpa pole.
 
tenda tarehe nane.... matokeo tarehe kumi... tasavali mzee mwenzangu.. lazima nione kihindihindi!!!

mapenzi ni kuelewana mzee mwenzangu!nimeridhika nae japo kwa hizi siku 2 tu!
Ni mipango ya mungu!
Mungu anaweza yote!Na atakalo liwe, huwa!
 
Unajua kiongozi huku JF kuna biashara flani hivi..... watu wanachakachuliwa wao wanakuja kutamba wamepata waume....Subiri atakuja hapa na thread "Mume niliyempata ananiliza....Msaada wana JF" Nasi kama kawaida yetu hatutachoka kumpa pole.

Babu, huyu sio hao!
Huyu hakika tumependana kabisa!
kwakweli ni chaguo la mungu!
Namshukuru mungu kwa kunikutanisha nae!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…