Nimepata kazi JF, nimekuwa mod!!!

Nimepata kazi JF, nimekuwa mod!!!

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
1,637
Reaction score
463
"Haya sasa mnaonijibugu ovyo kwenye nyuzi zangu, kajipangeni tena maana kijana sio tu member bali mod! Sasa lete uzi bila source...BAN la nguvu linakusubiri!" Ndio ndoto niliyoota jana ati nimetumiwa PM na invisible nijiunge na team baada ya thread zangu kuleta mapinduzi na wengi waliokuwa vilaza kuwatoa kuwafanya zichaji na sasa wanashusha nondo tu!
 
"haya sasa mnaonijibugu kun.ya kwny nyuzi zangu, kajipangeni tena maana kijana sio tu member bali mod! sasa lete uzi bila source...BAN la nguvu linakusubiri!" Ndio ndoto niliyoota jana ati nimetumiwa PM na invisible nijiunge na team baada ya thread zangu kuleta mapinduzi na wengi waliokuwa vilaza kuwatoa kuwafanya zichaji na sasa wanashusha nondo tu!

Tupe source ya ndoto yako hii!
 
Don't hate me
Hate the money you see,
Clothes I buy,
Ice I wear,
Clothes I try,
Money foldin bxtches,
Picture me rollin Sixer's.
 
Back
Top Bottom