Nimepata kazi mpya /mshahara umedabo nabadilisha mchumba

Nimepata kazi mpya /mshahara umedabo nabadilisha mchumba

Duh, wadada wengine wamepinda. i cant imagine hata mtarajiwa wangu naye anamawazo kama haya!!! Naomba Mungu anifunulie mapema kabla sijaingia chaka!!
ukisikia micharuko ndiyo hiyo mkuu!
 
Back
Top Bottom