Sasa wewe unahitaji usaidiwe kutokana na hisia zako tu, unategemea utasaidiwaje? Wewe subiri hadi utakapoombwa hiyo rushwa ndio uombe ushauri wa nini la kufanya, kutegema aina ya rushwa utakayoombwa. Wakati huo utakapoombwa rushwa kubali na kuahidi kutekeleza baada ya siku moja au mbili, na kisha omba ushauri au nenda Takukuru.