Nimepata kidonda kikubwa kwenye kichwa cha uume baada ya kunywa malafin

Nimepata kidonda kikubwa kwenye kichwa cha uume baada ya kunywa malafin

Mtoto mkubwa

Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
68
Reaction score
23
Wakuu nimemeza malafin kwaajili ya malaria, siku ya pili yake nikahisi maumivu kwenye uume kucheki kuna kama vijipele hivi, nikavichukulia poa kuamka siku ya pili yake limekua donda, yani ni kama jeraha la moto linanikondesha sana kwani siwezi nikasema kuwa ni gonjwa la zinaa coz sijasex karibuni, nina mda tangu ni sex.

Wakuu, naombeni mnisaidie nitumie dawa gani ili kukausha kidonda maana huwa kinatoa majimaji na kinanifanya nishindwe kuvaa hata nguo.
 
Nenda hospital aisee vitu vingine siyo vya kuomba ushauri hata kidogo hasa mambo ya maradhi, labda uwe umeshaenda hospital
 
Labda fanya matengenezo na maXs wako huenda wamepata makasiriko
 
Hospital wataka-assign kanesi kadoogo kawe kanakusafisha kidonda[emoji28][emoji28][emoji28] halafu kila ukienda wanakubadilishia nesi
 
Nimepata kidonda kwenye uume.

Nilikuwa nna malaria kali nikatumia metacephlin.

Ndio nikaanza kuona vijipele kwenye kipara cha uume ambavyo vimegeuka kidonda kibichi tena kina mafuta.

Siwezi kuvaa boxer wala kutembea ni maumivu makali muda wote.

Naombeni wataalam mnishauri dawa ya kutumia.
 
Sielewi mod kwa nini umeamishia uzi wangu hapa kulipojaa utani na uzi ni wazamani
 
Pole sana Mungu akuponye ila cha kufanya wahi hospital chapu halafu ndo tuendelee kujadili maana huko ni muhimu sana
 
Pole , una allergy ya sulfur jaribu kunywa anti allergy naji mengi I'll kuitoa mwilini.
Siku ya 3 utapona ila kovu LA weusi litabaki
 
Pole , una allergy ya sulfur jaribu kunywa anti allergy naji mengi I'll kuitoa mwilini.
Siku ya 3 utapona ila kovu LA weusi litabaki
Asante mkuu...hakuna dawa nayoweza tumia kukausha au ni risky kupaka dawa kwenye kipara?
 
Mkuu, pole sana. Dawa uliyotumia huwa na mjumuiko wa kemikali ya sulfa ambayo kwa baadhi ya watu husababisha allergy (mzio) kubwa au ndogo.

Hii ni ishara ya kuwa mwili wako hauna ustahimilivu kwa sulfa, hivyo jaribu kutumia dawa zingine kwa kadri mwongozo wa Serikali unaohusisha matibabu ya ugonjwa huu unavyosema.

JamiiForums kupitia jukwaa lao la Jamii Check wameelezea suala hili kwa undani, unaweza kusoma hapa: Baadhi ya Dawa za kutibu Malaria zinaweza kusababisha mzio mwilini, ikiwemo Kuchubuka Uume na Midomo
 
Back
Top Bottom