music mimi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 485
- 876
Asante mkuu kwa uzi nimeutazama.Mkuu, pole sana. Dawa uliyotumia huwa na mjumuiko wa kemikali ya sulfa ambayo kwa baadhi ya watu husababisha allergy (mzio) kubwa au ndogo.
Hii ni ishara ya kuwa mwili wako hauna ustahimilivu kwa sulfa, hivyo jaribu kutumia dawa zingine kwa kadri mwongozo wa Serikali unaohusisha matibabu ya ugonjwa huu unavyosema.
JamiiForums kupitia jukwaa lao la Jamii Check wameelezea suala hili kwa undani, unaweza kusoma hapa: Baadhi ya Dawa za kutibu Malaria zinaweza kusababisha mzio mwilini, ikiwemo Kuchubuka Uume na Midomo
. Naweza kausha hiki kidonda kwa dawa gani?