TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Mbona unawasiwasi na magonjwa ya zinaa, nenda hospital kaonane na daktari atakupa dawa muafaka. ingekuwa magonjwa ya zinaa dalili zingeanzia kwa mumeo coz wanaume wanaonesha dalili mapema sana compare na wanawake
Sio lazima
kuna baadhi yanaweza pita kimya kwa wanaume, kama ilivyo kwa wanawake pia
