Mbona unawasiwasi na magonjwa ya zinaa, nenda hospital kaonane na daktari atakupa dawa muafaka. ingekuwa magonjwa ya zinaa dalili zingeanzia kwa mumeo coz wanaume wanaonesha dalili mapema sana compare na wanawake
Madokta nisaidieni maana ni ghafla sana nilianza na kuwashwa sana ikafata uchafu mweupe nikajua ni fangasi maana natumia choo cha public sana, nashanga kimeota kijikipele kama cha homa hapa juu kabisa kwenye kimisi, ndio tuseme nimepata magonjwa ya zinaa? sijawahi toka nje ya ndoa ni mume wangu tuu na yeye sio mgonjwa, nisaidieni jamani hii nini tena naninywe dawa gani ili nipone haraka nimekosa raha ghafla.
Mh hiyo sio herpes zoster...sijuiiii...nenda kwa docta
Jambo la msingi uende hospitali upate ushauri zaidi. Hiyo sio herpes zoster usianze kuchanganya magonjwa..ndio ugonjwa gani tena huo jamani au ndio ugonjwa mpya ulioingia huwiii jamani mimi nisaidieni nitumie dawa gani basi ya hiyo herpeszoster
Madokta nisaidieni maana ni ghafla sana nilianza na kuwashwa sana ikafata uchafu mweupe nikajua ni fangasi maana natumia choo cha public sana, nashanga kimeota kijikipele kama cha homa hapa juu kabisa kwenye kimisi, ndio tuseme nimepata magonjwa ya zinaa? sijawahi toka nje ya ndoa ni mume wangu tuu na yeye sio mgonjwa, nisaidieni jamani hii nini tena naninywe dawa gani ili nipone haraka nimekosa raha ghafla.
usiwe na presha nenda tu hospitali utafanyiwa vipimo utapona
Yaani akifanyiwa vipim tuu anapona??????????? Ujinga
akifanyiwa vipimo that means ajua tatizo ni nini na dawa ipi atumie,be curious enough to relate things
Kufanyiwa vipimo??? au kupimwa??? Mwenye matatizo hapo ni nani? Wewe ndo unatakiwa uandike vitu kwa uwazi ueleweke badala ya kuandika nusunsu. Kwa nini mimi nianze ku-relate things wakati havi-relate?
Ha ha ha wewe dada inaelekea muoga sana, kuwa na amani nenda hosp!! kama unaogopa kumuambia mmeo basi nenda mwenyewe.ndio ugonjwa gani tena huo jamani au ndio ugonjwa mpya ulioingia huwiii jamani mimi nisaidieni nitumie dawa gani basi ya hiyo herpeszoster