Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Hayo mambo yako ya Odds waulize Man Utd Vs West Ham ilikuwaje final whistle!!!Odds ni jambo la kawaida, kuna timu zinakua na odds kuanzia 11+ kushinda na zinashinda 4-0,3-0,2-1 etc...ni suala la utabiri lakini uwanjani ni kitu kingine kabisa
20:00Kick off saa ngp
Kichwa Kichafu ndie aliyeitia nuksi timu yetu[emoji53]
Najua atakuwa anafurahia maana mkeka wake umetikiKaharibu sana...
Mkuu matokeo umeyaona ndugu yanguNaungana nawe katika utabiri wa leo
Tunapoteza mchezo
ni kweli mkuuTim yetu ya taifa tusha izowea ikitokea ikashinda tutafurah lakin ikipigwa pia nikawaida yake kufungwa ko kama mzarendo inabid uwe naroho ngumu sana koz matokeo ya aina yoyote kwa timu yetu nikawaida tu
Matokeo umeyaona lakini nduguungekuwa unajua odd hupangwaje usinge shangaa stars kupewa 5+
moja yuko away. pia kafel kupata ushindi match nyingi za karibuni
mkuu hapo mkeka ungekuwa hahujachanika ungekuwa umepasuka si kwa kipigo hikiOdds hazichezi,wewe bet kwa stars utakula mzigo
Odds nimetupa kule ila umeona kichapo mkuuπππMpira ni maandalizi na uwezo wa wachezaji wako! Haya mambo ya sijui odds tupa kule!