Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja alivagae akili imkae sawa tuwe tuna muhesabia siku za kuishi.Usisahau Trump amesitisha
Jichanganye
Ukimwi upo, na unauaWakuu namshukuru Mungu baada ya kuhamia huu mji kwa zaidi ya miezi 5, huku nikitaka wa kunipunguzia upwiru ninapokuwa mbali na wife . Pia si mnafahamu kuwa michubuko inaimarisha ndoa. Nimefanikiwa kulinasa limama mtu mzima kabisa. Huyu ananizidi kama miaka 6 hivi. Sasa hivi mwenyewe ananiita mda wowote na haombi pesa maana ana kazi yake. Maisha burudani sana.
Miezi yote hiyo nani anamsubiri 😜Uzuri mke wako nae wahuni wanamgonga
Bila bila
Kwa nini ulioa kama unashindwa kumheshimu mkeo na ndoa yako? kwa nini uliamua kuoa?Wakuu namshukuru Mungu baada ya kuhamia huu mji kwa zaidi ya miezi 5, huku nikitaka wa kunipunguzia upwiru ninapokuwa mbali na wife . Pia si mnafahamu kuwa michubuko inaimarisha ndoa. Nimefanikiwa kulinasa limama mtu mzima kabisa. Huyu ananizidi kama miaka 6 hivi. Sasa hivi mwenyewe ananiita mda wowote na haombi pesa maana ana kazi yake. Maisha burudani sana.
Hakumbuki hili ....USAID hawatoi tena ARV siku hizi mkuu. Mmepima?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watuBasi shetani awe nawe kwa kila hatua ya mahusiano mapya, akuongoze katika njia aitakayo yeye, kwa pamoja tuitikie ameen. Asubuh njema mkuu