Nimepata mchempuko permanent

mke wako huko alipo jua nae kampata wa kumpa na wala hamombi hela....
 
Uwe na budget ya kupima kila mnapotaka kuwekana, au uvae gwanda kila mnapotaka kuwekana...its boring, bora kubaki na mmoja au kupiga mkono tu!
 
Kwahiyo unatu ringishia au?? Unatufanyia doori dori, dori samwela kwa huyo bibi?
 
Ukimwi upo, na unaua
 
Unamshukuru Mungu au shetani kwa kupata mchepuko. Ewe mwanandoa heshimu ndoa yako
 
Kwa nini ulioa kama unashindwa kumheshimu mkeo na ndoa yako? kwa nini uliamua kuoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…