Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu achana naye huyo,, huwaga hawaolewi hao! Si uliona Ndikumana aijichanganya kwa mrembo mmoja kwani alifika wapi? Unamwona Wema ameolewa? Ulishamwona nani mwana bongo movie ameolewa? Utaishia kugegedewa na akina Ray shauri yako!!Salaam
Naombeni dua zenu nimepata mchumba bongo movie jina nalihifadhi mpaka muda utakapofika.
Nitakieni ndoa njema maana wengi wameshindwa kuwaoa hawa vimwana.
Asante
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu achana naye huyo,, huwaga hawaolewi hao! Si uliona Ndikumana aijichanganya kwa mrembo mmoja kwani alifika wapi? Unamwona Wema ameolewa? Ulishamwona nani mwana bongo movie ameolewa? Utaishia kugegedewa na akina Ray shauri yako!!
Salaam
Naombeni dua zenu nimepata mchumba bongo movie jina nalihifadhi mpaka muda utakapofika.
Nitakieni ndoa njema maana wengi wameshindwa kuwaoa hawa vimwana.
Asante
Ninazaidi ya miaka kumi tangu nihamieUmekuja Dar lini mkuu. Tuanzie hapo...
AsanteHongera, kila la kheri
mapenzi popote mwacheni mwenzenuMkuu achana naye huyo,, huwaga hawaolewi hao! Si uliona Ndikumana aijichanganya kwa mrembo mmoja kwani alifika wapi? Unamwona Wema ameolewa? Ulishamwona nani mwana bongo movie ameolewa? Utaishia kugegedewa na akina Ray shauri yako!!
Ngoja nijaribu inawezekana likawa chaguo la MunguMkuu achana naye huyo,, huwaga hawaolewi hao! Si uliona Ndikumana aijichanganya kwa mrembo mmoja kwani alifika wapi? Unamwona Wema ameolewa? Ulishamwona nani mwana bongo movie ameolewa? Utaishia kugegedewa na akina Ray shauri yako!!
Kweli kabisamapenzi popote mwacheni mwenzenu
Ushauri kuntu huu aiseeMkuu achana naye huyo,, huwaga hawaolewi hao! Si uliona Ndikumana aijichanganya kwa mrembo mmoja kwani alifika wapi? Unamwona Wema ameolewa? Ulishamwona nani mwana bongo movie ameolewa? Utaishia kugegedewa na akina Ray shauri yako!!
mnataka mcheze movie au kufunga ndoa na bongo movie. Labda kwa ndoa ya mkataba. Maana hSalaam
Naombeni dua zenu nimepata mchumba bongo movie jina nalihifadhi mpaka muda utakapofika.
Nitakieni ndoa njema maana wengi wameshindwa kuwaoa hawa vimwana.
Asante
Mkuu niliogopa nilipoona Ray van boy quoted you, nikafikri Ray amenishukia nini? Nikaja kufungua hapa kwa machale!!Ushauri kuntu huu aisee