Nimepata mchumba Bongo movie

hehe huyo mpya atakuwa anaitwa kunguru bila shaka, umeula wa chuya
 
Umekuja Dar lini mkuu. Tuanzie hapo...
Alikuja January mwaka huu na gari la maiti Kwenye msiba wa jirani yao waliyeishi naye huko Sikonge-Tabora,
Alipofika na kuliona jiji ndo ikawa jumla na amepata bahati baada ya shemeji yake kumtafutia kazi ya ulinzi wa geti la hospital hivyo kampata mdada chipukizi wa Bongo "muvi"
Akajua mke[emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…