Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nenda kaolewe tabia zao utazijua ukishafika huko kwao. Sisi hatujawahi kuishi na familia unayoenda kuolewa mpaka tujue tabia zao.Natarajiwa kuolewa jamani nimempta mwanaume mmarangu si vibaya nikijua tabia zao ili nikatulie kwenye.ndoa jamani
Skuizi wakabila lako utampata wapi kila mahali kumeozaKwanin usiolewe na mtu wa kabila lako?
Sasa wee bikira mbona huji kule kutusaidia kutetea hoja?Sifa moja kuu ya wachaga wa marangu ni wavumilivu sana na wakipenda huwa wanamaanisha kweli,unaweza wapiga matukio mengi mazito ya mda mrefu na wakakuvumilia tu like nothing happen,Ila siku wakichoka unyonge my Furend "RUN"[emoji23][emoji23] Kama hawatokuuwa basi utakutana na Revange Pro max hutoisahau hadi uingie kaburini[emoji23][emoji23] Wale visasi wamezaliwa navyo
HahahahaSifa moja kuu ya wachaga wa marangu ni wavumilivu sana na wakipenda huwa wanamaanisha kweli,unaweza wapiga matukio mengi mazito ya mda mrefu na wakakuvumilia tu like nothing happen,Ila siku wakichoka unyonge my Furend "RUN"[emoji23][emoji23] Kama hawatokuuwa basi utakutana na Revange Pro max hutoisahau hadi uingie kaburini[emoji23][emoji23] Wale visasi wamezaliwa navyo
Tabia zake utazijua ukiwa nae sisi unatupa kazi ambayo haiwezekani, kwa dunia ya sasa ili kumjua mtu ni lazima uishi nae kwa muda kidogoNatarajiwa kuolewa jamani nimempta mwanaume mmarangu si vibaya nikijua tabia zao ili nikatulie kwenye.ndoa jamani
Kama unazo fedha na miradi huyo atakuwa mke wa mtu!Natarajiwa kuolewa jamani nimempta mwanaume mmarangu si vibaya nikijua tabia zao ili nikatulie kwenye.ndoa jamani
HeheeeKaribu meku, wa marangu hawana shida pamoja na warombo na wachaga wa uru
Balaaa ni wakibosho, siha na adui kuu Machame
Mnama nyie wa kiosoo vipi? Ndio mnapenda kujazana kariakoo 🤣🤣Wanapenda kusoma nakuajiriwa , ila wengi wanapenda sana familia zao nawanajua kuzijali .
Kumbe usipozijua tabia hutotulia kwe ndoaNatarajiwa kuolewa jamani nimempta mwanaume mmarangu si vibaya nikijua tabia zao ili nikatulie kwenye.ndoa jamani
Dah mnapenda sana shule bwashee🤣Mnama nyie wa kiosoo vipi? Ndio mnapenda kujazana kariakoo 🤣🤣
Hongera sana. Sifa ya kwanza wana hela. 😜Natarajiwa kuolewa jamani nimempta mwanaume mmarangu si vibaya nikijua tabia zao ili nikatulie kwenye.ndoa jamani
Usichukulie ndoa rahisi, pata muda wa kumchunguza deeply, na maamuzi ya mwisho uamue wew mwenyewe.. usiwasikilize wanaosema tabia utazijua mbele ya safari.Natarajiwa kuolewa jamani nimempta mwanaume mmarangu si vibaya nikijua tabia zao ili nikatulie kwenye.ndoa jamani