Nimepata mchumba Mchaga wa marangu nijulisheni tabia zao

Kila mtu , familia , koo, na hata taifa hakuna mfumo mmoja wa tabia .

Kila mtu atakuambia vile na hivi ila tabia zinatofautiana sana baina ya mtu na mtu.

Mimi ni mchaga wa marangu ,ila tabia zangu ni tofauti sana na wachaga wengi kama sio wote, sasa ndio uwe umekuja kwangu kwa muongozo wa tabia za ujumla za wachaga si utakuwa disappointmen sana.
 
Ogopa matapeli hakuna mangi anatelekeza mtoto bwashe
Nimeishi na mangi tangu mdogo hadi Sasa ni mtu mzima
Wanawake wengi hasa mijini wamedanganywa na hii tricky na kuishia kuwa single mother wakipambana kulea na kauli Yao ni hiyo
Hapo marangu mtoni na lizaboni nimekaa sana
Mmarangu akikutana na mwanamke mpya wa zamani anamuachia zawadi ya mtoto na kumbuka by nature ni watu arrogant
 
All in all wamarangu ni jamii ya watu wastaarabu sana (wengi ni wasomi), wapole na watulivu kwenye mambo yao. Wanapenda familia na wanapenda nyumbani, jiandae kwenda kula "krismas" kijijini kila mwaka.

Hua hawana "shobo" na ndio maana saa nyingine utaambiwa wanaringa.
 
Kumbe ? Labda vijana wa sasa aseee
 
Wewe angalia mwenyewe siku hizi kwa mwingiliano tulio nao sio rahisi kutoa jibu sahihi kwani hatujui kama amezaliwa na wazazi wote wa marangu au ni mchanganyiko.Kama umeelewa mapigo yake weka tatizo lako ndani upambane nalo.Natoa mchango wa bapa tano kubwa za K-vant
 
Kabisa mkuu umenena vyema , mimi debe mbili za mbege nawasilisha .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…