Nimepata mchumba mwenye sehemu mbili za uzazi

Nimepata mchumba mwenye sehemu mbili za uzazi

Haikuwa busara kuliweka hilo kama ni la kweli.

Kila binaadamu Mungu kawaumba na mapungufu ya kitabia na kimaumbile vilevile.

Ni Mungu tu anaamua amuumbe mtu kwa namna gani na sisi wanadamu kuwakosoa, kuwasengenya ni kumkosoa aliye Muumba.

Tukumbuke sisi ni wazazi tunazaa, zisi ni mababu tutapata wajukuu, na matatizo sii kwamba kuna watu au jamii ilioundiwa lakini yaweza kutokea popote na kwa mtu yoyote.
 
Habari Jf!

Nimefanikiwa kupata nyumba ndogo tupo hatua za mwisho kufunga ndoa.

Katika harakati za muonjano nikagundua ana sehemu mbili lakini ya kike ndo inaonekana vizuri na ipo vuzuri nimeenjoy.Ya kiume ipo Kwa juu lakini ni ndogo binti Mwenyewe mkali pisi Kali ya kisambaa.

Najiuliza maswali mengi ya mguu ndani mguu Nje ushauri wenu marafiki zangu.
Hongera sana sana
 
Ya kiume ni ndogo sana mithili ya Mtoto mchanga lkn ni Origional penis
Kisimi kimeumbwa Kama kichwa Cha uume wako mkuu, wala usipate hofu.

Sema vingi Ni fupi Sana Kias huwez kuona lile umbo lake halisia, ukikutana na vile virefu kuanzia nchi 1+ vinaumbo la uume kabisa hasa akiwa na nyege.
 
Habari Jf!

Nimefanikiwa kupata nyumba ndogo tupo hatua za mwisho kufunga ndoa.

Katika harakati za muonjano nikagundua ana sehemu mbili lakini ya kike ndo inaonekana vizuri na ipo vuzuri nimeenjoy.Ya kiume ipo Kwa juu lakini ni ndogo binti Mwenyewe mkali pisi Kali ya kisambaa.

Najiuliza maswali mengi ya mguu ndani mguu Nje ushauri wenu marafiki zangu.
Hajakuonja?
 
Mtoa mada usipate tabu kabisa,

Kwanza niseme TU umepata Mwanamke sahii kabisa, Tena Lulu usimpoteze.

Hofu yako inaweza kumfanya asijiamini anapokua na Wewe, Hawa wanawake wa hivi Ni adimu Sana[emoji39]
 
Back
Top Bottom