Nimepata mchumba mwenye sehemu mbili za uzazi



Mshauri muikate hiyo dushe na muiuze kwa wachimba madini, ni utajiri huo ameuikalia.🤣
 
Hilo nalo nendeni mkalitizame
 
[emoji15][emoji15][emoji15] Aweeeee! Hapo ni mie na speed 100, haki mi siwezi lala hapo, hapana wakuu! Hapana! Bora nikapige punyeto! Anaweza kunigeuza huyo [emoji23][emoji23][emoji23] Hapana!
Acha uoga wewe[emoji16]
 
Subiri ukishamuoa siku moja usiku ukajikuta ameshachomeka number zero ndiyo utajua
 
Hizi anazoleta hapa ni laana na kama hazitamkuta katika vinasaba vyake uzao wake utalaaniwa. Mungu akuepushie na atulinde sote.
 
Hi bro achana na ushauri wa wapumbavu,nenda nae hosp utapata ufumbuzi
 
Nakushauri ulale nae kwa tahadhari.

Siku hicho kiswaswadu cha huyo binti kikisimama ghafla ,
itakuwa ndy siku utakayopoteza bikira yako ya marinda.

Mwanamke akiwa na sehemu mbili za uzazi huyo ni mwanaume mwenzio.
 
Kama umempenda fanya tu maamuzi, ni Siri yenu. Usiwaone watu wanatembea, wana Siri zao.
 
Huyo Ni Mwanamke mkuu,
Na Hicho Ni kisimi kirefu bwashee,
Hakuna mwanadamu kaumbwa na sehemu mbili za uzazi mkuu.
(hermaphrodite is myth, they don't exist)
Wapo.... they are existing for sure....nishawahi kukutana naye na mpaka leo nawasiliana naye....na historia ya familia yao inathibitisha maana kuna watoto wanne wa kike watatu na wa kiume mmoja ila wote ni kama wanajinsia mbili kwa inavyosemwa ila huyu niliyebahatika kumvua nimeshuhudia kabisa ni real
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…