njoo nikuuzie business proposal milioni kumi na nina uhakika itawork
Ndiyo hivyo yani hata kununua biashara ya mwingine amendeshe kisasa hawezMiss usije ukamuuzia bahari tu[emoji1][emoji1]wa chai kaishiLondon miaka 25karudi na mbwa bongo.mkulimwa alikuwa nazo kama hizo miaka ile ya 95 uliza sasa kafanyianini zaidi ya kubadilishia wasenge tu kule mketo! Sasa hivi anaomba kiama kije wote tufe.mimi naamini kuna mahali fulani pesa huwa inakosea njia unakuwaje na hela halafu hujui kuzitumia.
Kweli mkuu, mi ni mwaka wa tano naiendesha hii biashara usipime!Mmmmh hii biashara ni ngumu saan kuifanya mtu..nmeifanya mwaka wa 2 sas ila inachangamoto nyingi Kam kweli ukiwa na roho ya ubinadamu na huruma uku kugum saan hasa kwa hali ya sas,apa nafklia kuachana nayo
Haaa haaaa haaa....mambo ya DECI[emoji121] itakula kwako....usithubutu hii biashara.Kwa Mungu ni dhambi na pesa yaki ita angamia.
UTT hamna kitu..Natamani kujua zaidi kuhusu hii kitu
¼ inakuusu kwanza nikushauri hizo hela tenga baadhi uchekiwe akili kwanzaHeshima zenu wakuu.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,ni Mtanzania nnae ishi nchini ufaransa
Nimebahatika kupata shillingi mil 50 za kitanzania na nahitaji kuwekeza nchini Tanzania.
Je ni fursa zipi nnazo weza kuzipata Tanzania kuweza ili kuimaximize hii pesa ili niweze kuwa Millionaire ndani ya miaka 10 kutoka sasa.?
Asanteni.
Mkuu ebu eleza vzur kuhusu io Financial market. Naweza elimika nami nkaingia uko. TafadhaliWekeza kwenye financial markets kama unataka utoke fasta.
Forex zinakutoa fasta, ukiweka hiyo 50M utakuwa unatengeneza kama 500USD kila siku.
Davion Delmonte Jr.
kuwa na chanzo cha kipato kinachokupa uhakika wa kupata mamilioni ya pesa ndan ya muda mchache na kiwe na mwendelezo.Million 50 si tayari milionea, au milionea maana yake nini?
Mkuu ebu eleza vzur kuhusu io Financial market. Naweza elimika nami nkaingia uko. Tafadhali
Siyo millionea tayari ni multi millionea ndo mana nikamshauri akapimwe akili ni sawa na MTU kutafuta funguo kumbe hipo mkononi mwakeTayari we ni milionea
kwanini usitu dadavulie na sisi tukaelewa mana Google haina straight answerYou can dig and learn more through google.com