Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

Ushauri wangu kwako ndugu ni kwamba mimi naona kilimo cha viazi mviringo kinalipa na ni kizuri sana kwa kuwa kinachukua maxmum ya miez 4 lakini kawaida ni miez 3 kuvuna, na kiazi kina mahitaji makubwa sana sokoni na kwa mtumiaji wa mwisho pia...Kwa milion 50 unaweza kupata zaid ya milion 800 ikiwa unafanya kilimo kama kinavyotakiwa...Utaanza na kukod shamba la hekali 40 ambayo itakugharimu sh 60,000 kwa kila heka...Mbegu mpya ya kiazi ambacho hakina mabonde ni sh 100,000 kwa hekal moja ...Utanunua mashine za kumwagilia ambazo kwa makadilio itakughalimu sh milion 3 maximum ....Utanunua mbolea ambayo kila heka utanunua mbolea ambayo itakugharimu sh mil 6 kwa hekali 40 zote ...Utaweka vijana wa kulima ambao utaelewana nao kwa mazungumzo ya kawaida ambayo inaweza kukugharimu sh 400,000 maximum kwa hekali zote 40 ..ukipiga hesabu kwa ujumla utakuwa umetumia sh milion16 tu katika hiyo 50 uliyonayo..Na kiazi kwa hii mbegu mpya unatoa gunia 80-100 kwenye hekali moja...Kiazi kama hiki kisichokuwa na mabonde kina mahitaji makubwa sana sokoni na kikishuka bei kinauzwa 80,000 kwa gunia dar es salaam...Ndugu ukipiga kwa mahesabu ya haraka haraka unaweza kuvuna gunia 3,200 katika shamba la hekali 40 kwa msingi wa shiling milion 16 tu kati ya milion 50 ulizo nazo ...Na kama utauza kipind cha bei ya chini ya sh 80,000 kwa gunia utakuwa umejipatia tsh 256,000,000 ...ukitoa gharama za usafirishaji kutoka shamba hadi masoko ya dar es salaam itapungua hapo kidogo lakini haita affect hiyo figure ..May be 240,000,000... Huo ndo ushauri wangu ndugu na nina uhakika kabisa kama ukitumia kias chote cha sh mil 50 bas utapata faida zaid ya hiyo ambayo inaweza kufikia hadi milion 800...
kinalimwa wapi mkuu?
 
Chukua hii kama utaona inafaa....

Fanya biashara ya mbao mkuu, nunua mbao border ya Tanzania na Mozambique njoo uuze dar.
Baada ya kulipa vibali vyote vinavyohitajika mbao(mninga) mpaka inafika sokoni (dar) itakuwa imekula 32k kwa kila moja.
Bia ya jumla sokoni sasa hivi ni 46k-50k

Sasa assume umetumia 10m kwa ajili ya vibali imebaki 40m...

30m/32k = 1250 maana yake utapata mbao 1250

1250*14000= 17.5m na hii ndio faida utakayopata,

Mwalimu wangu wa biashara aliniambia ukiwa unafanya calculations za biashara faida utayokisia kuipata igawe kwa mbili utachopata kama ukiona hakikutoshi acha hiyo biashara.

Sasa kwenye hii biashara faida yake tunaAssume 17.5m/2 = 8.75m

Kwa hiyo ni hakika utapata faida 8.75m kwa mwezi (Ingawa unaweza ukanunua/uza mara mbili kwa mwezi)

Kama itakufaa chukua kama haikufai pia ruksa kuiacha.

Angalizo:
Usifanye hii biashara ILLEGALLY
mkuu hawasumbui maafisa wetu kwenye hii biashara?...inaonekna ni biashra nzuri
 
Ushauri wangu kwako ndugu ni kwamba mimi naona kilimo cha viazi mviringo kinalipa na ni kizuri sana kwa kuwa kinachukua maxmum ya miez 4 lakini kawaida ni miez 3 kuvuna, na kiazi kina mahitaji makubwa sana sokoni na kwa mtumiaji wa mwisho pia...Kwa milion 50 unaweza kupata zaid ya milion 800 ikiwa unafanya kilimo kama kinavyotakiwa...Utaanza na kukod shamba la hekali 40 ambayo itakugharimu sh 60,000 kwa kila heka...Mbegu mpya ya kiazi ambacho hakina mabonde ni sh 100,000 kwa hekal moja ...Utanunua mashine za kumwagilia ambazo kwa makadilio itakughalimu sh milion 3 maximum ....Utanunua mbolea ambayo kila heka utanunua mbolea ambayo itakugharimu sh mil 6 kwa hekali 40 zote ...Utaweka vijana wa kulima ambao utaelewana nao kwa mazungumzo ya kawaida ambayo inaweza kukugharimu sh 400,000 maximum kwa hekali zote 40 ..ukipiga hesabu kwa ujumla utakuwa umetumia sh milion16 tu katika hiyo 50 uliyonayo..Na kiazi kwa hii mbegu mpya unatoa gunia 80-100 kwenye hekali moja...Kiazi kama hiki kisichokuwa na mabonde kina mahitaji makubwa sana sokoni na kikishuka bei kinauzwa 80,000 kwa gunia dar es salaam...Ndugu ukipiga kwa mahesabu ya haraka haraka unaweza kuvuna gunia 3,200 katika shamba la hekali 40 kwa msingi wa shiling milion 16 tu kati ya milion 50 ulizo nazo ...Na kama utauza kipind cha bei ya chini ya sh 80,000 kwa gunia utakuwa umejipatia tsh 256,000,000 ...ukitoa gharama za usafirishaji kutoka shamba hadi masoko ya dar es salaam itapungua hapo kidogo lakini haita affect hiyo figure ..May be 240,000,000... Huo ndo ushauri wangu ndugu na nina uhakika kabisa kama ukitumia kias chote cha sh mil 50 bas utapata faida zaid ya hiyo ambayo inaweza kufikia hadi milion 800...
mkuu umewai kulima kiazi ww,,au unaambiwa tu,,mm nimzoefu kwenye hiki kilimo,,embu fikilia msimu wa kuvuna umefika alafu sokoni kumetapika na mbaya zaidi kiaz hakiwekeki siyo mahindi yale au mpunga kwamba biashara ikiwa mbaya nitaweka stoo,,nimelima kiazi mwaka huu ambacho nimetoa mwez wa saba,,bei ilianza elf 55 wakulima weng wakadengua eti bei itapanda kwa sababu kiazi cha mwez wa pili mikoa ming kiliungua na ukungu,,sokon kikaanza kuingia Obama ya Kenya,,wale waliodengua kwa elf 55 ikawa haipo tena hyo bei ikawa elf 40,,napo wanunuzi hamna,,aiise kilimo cha kiazi kikikutoa kimekutoa kweli,,kikikuta utakichukia
 
Una milioni 50 umeishakuwa milionea; wewe iliyobaki ni kuweka miguu juu na kuzitumbua hizo milioni zako na zikiisha zitakuja nyingine!!!!
 
mkuu umewai kulima kiazi ww,,au unaambiwa tu,,mm nimzoefu kwenye hiki kilimo,,embu fikilia msimu wa kuvuna umefika alafu sokoni kumetapika na mbaya zaidi kiaz hakiwekeki siyo mahindi yale au mpunga kwamba biashara ikiwa mbaya nitaweka stoo,,nimelima kiazi mwaka huu ambacho nimetoa mwez wa saba,,bei ilianza elf 55 wakulima weng wakadengua eti bei itapanda kwa sababu kiazi cha mwez wa pili mikoa ming kiliungua na ukungu,,sokon kikaanza kuingia Obama ya Kenya,,wale waliodengua kwa elf 55 ikawa haipo tena hyo bei ikawa elf 40,,napo wanunuzi hamna,,aiise kilimo cha kiazi kikikutoa kimekutoa kweli,,kikikuta utakichukia
Hiyo bei ya kwa mkulima ndugu naielewa mi nasema bei ya kuuza dar es salaam ni 80,000... na ukitumia kilimo cha umwagiliaji unapunguza risk pia mbolea inahusika ili kukuza vizuri na kisishambuliwe na wadudu...
Alaf pia hata mtu ukiwa raisi wa nchi sio kwamba wewe utakula raha tu ya madaraka pia kuna changamoto zake ambazo utakuna nazo..
Kwaiyo nakushauri ndugu yangu kama ulilima kiazi kikakupa hasara basi jifunze ni wapi ulipokosea urekebishe
 
Hiyo bei ya kwa mkulima ndugu naielewa mi nasema bei ya kuuza dar es salaam ni 80,000... na ukitumia kilimo cha umwagiliaji unapunguza risk pia mbolea inahusika ili kukuza vizuri na kisishambuliwe na wadudu...
Alaf pia hata mtu ukiwa raisi wa nchi sio kwamba wewe utakula raha tu ya madaraka pia kuna changamoto zake ambazo utakuna nazo..
Kwaiyo nakushauri ndugu yangu kama ulilima kiazi kikakupa hasara basi jifunze ni wapi ulipokosea urekebishe
Kilimo hicho kinalimiwa maeneo gani
 
Kk kitu cha kwanza kabla ujaanza kufungua biashara wala ofis yyt jiulize kitu gani unakipenda na unaweza kukifanya kwa moyo wote
 
wekeza kwenye kuku mkuu kienyej na nguruwe tena inlarge scale ndan ya mwaka wew ni kwere
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Ushauri wangu kwako ndugu ni kwamba mimi naona kilimo cha viazi mviringo kinalipa na ni kizuri sana kwa kuwa kinachukua maxmum ya miez 4 lakini kawaida ni miez 3 kuvuna, na kiazi kina mahitaji makubwa sana sokoni na kwa mtumiaji wa mwisho pia...Kwa milion 50 unaweza kupata zaid ya milion 800 ikiwa unafanya kilimo kama kinavyotakiwa...Utaanza na kukod shamba la hekali 40 ambayo itakugharimu sh 60,000 kwa kila heka...Mbegu mpya ya kiazi ambacho hakina mabonde ni sh 100,000 kwa hekal moja ...Utanunua mashine za kumwagilia ambazo kwa makadilio itakughalimu sh milion 3 maximum ....Utanunua mbolea ambayo kila heka utanunua mbolea ambayo itakugharimu sh mil 6 kwa hekali 40 zote ...Utaweka vijana wa kulima ambao utaelewana nao kwa mazungumzo ya kawaida ambayo inaweza kukugharimu sh 400,000 maximum kwa hekali zote 40 ..ukipiga hesabu kwa ujumla utakuwa umetumia sh milion16 tu katika hiyo 50 uliyonayo..Na kiazi kwa hii mbegu mpya unatoa gunia 80-100 kwenye hekali moja...Kiazi kama hiki kisichokuwa na mabonde kina mahitaji makubwa sana sokoni na kikishuka bei kinauzwa 80,000 kwa gunia dar es salaam...Ndugu ukipiga kwa mahesabu ya haraka haraka unaweza kuvuna gunia 3,200 katika shamba la hekali 40 kwa msingi wa shiling milion 16 tu kati ya milion 50 ulizo nazo ...Na kama utauza kipind cha bei ya chini ya sh 80,000 kwa gunia utakuwa umejipatia tsh 256,000,000 ...ukitoa gharama za usafirishaji kutoka shamba hadi masoko ya dar es salaam itapungua hapo kidogo lakini haita affect hiyo figure ..May be 240,000,000... Huo ndo ushauri wangu ndugu na nina uhakika kabisa kama ukitumia kias chote cha sh mil 50 bas utapata faida zaid ya hiyo ambayo inaweza kufikia hadi milion 800...
Mkuu mahesabu ni matamu ila ukiingia shamba ndo utauona uhalisia
 
Mkuu ushauri wangu fungua office ndogo ya kukopa yani uwe unakopesha watu pesa nina mfano wa jirani yangu mmoja amefungua office kama hiyo yeye anakupa laki moja basi unarejesha laki moja na elfu 15 kwa mwezi mmoja na ukitaka kwa miezi miwili basi utarejesha laki 1 na 30. Yani mkopo wake hauvuki miezi miezi mi 3 kila kwenye laki moja basi kuna riba ya elfu 15 na watu wanakwenda wengi sana kwa sababu ni mkopo wa haraka japo unariba kubwa ukizingatia na kipindi hiki kigumu watu hali ya uchumi sio nzuri hivyo wanahaha sana kutafuta hela nadhani hii itakuwa ni biashara nzuri sana kwako na itakufanya uwe milionea mapema sana. Asante mkuu
Mmmmh hii biashara ni ngumu saan kuifanya mtu..nmeifanya mwaka wa 2 sas ila inachangamoto nyingi Kam kweli ukiwa na roho ya ubinadamu na huruma uku kugum saan hasa kwa hali ya sas,apa nafklia kuachana nayo
 
Mmmmh hii biashara ni ngumu saan kuifanya mtu..nmeifanya mwaka wa 2 sas ila inachangamoto nyingi Kam kweli ukiwa na roho ya ubinadamu na huruma uku kugum saan hasa kwa hali ya sas,apa nafklia kuachana nayo
Ugumu wake nini mkuu!??
Na unafanyia kilimo wap!??
 
Mmmmh hii biashara ni ngumu saan kuifanya mtu..nmeifanya mwaka wa 2 sas ila inachangamoto nyingi Kam kweli ukiwa na roho ya ubinadamu na huruma uku kugum saan hasa kwa hali ya sas,apa nafklia kuachana nayo
Changamoto zisingekuwepo kila mtu angelima , tupo dunian kwa ajiri ya kuzikabiri changamoto na kukata tamaa sio busara
Hata shetani ana changamoto zake
 
Back
Top Bottom