Ndg Nina laptop hp na window phone nipe laki tano nianze na huo mtaji.... Unanitosh sana, wewe chagua nikuuzie au niweke bond... Tuanzie hapo.... Kwanzamaterials zenyewe ni zipi na ni kiwanda gani na ni wapi?
Lazima iwe USD 1 Million or Sterling Pound.Shule ya bure/bila ada[emoji116]
_________________________
Milionea= Millionaire ~having millions of dollars in cash +assets
Bilionea= Billionaire ~ " billion " " " " + "
hata ukiwa na madafu yetu inatakiwa u- convert to USD then utaingia kwenye hizo rank, virtually sidhani km kuna billionaire Tanzania.
wap unapata nyumba kwa hyo hela ..mkoa gan yaanBiashara hapana. Coaster utakuja kuniambia majanga.
Muhim jenga nyumba/nunua nyumba uipangishe. Kod uchukue 4 kwa mwezi, kwa mwaka? Miaka kumi imerudi.
Nipo tayar kukuelekeza. Tena million 35 unapata nyumba nzuri kabisa
Mimi sina hata kumi nasaka laki 5 tu.... ili kwa mwaka nitengeneze zaidi ya milioni 360... maana kwa siku sitegemei kupata chini ya 1.5M kwa biashara ninayotaka kuifanya, sema wakutukopesha pesa hawaonekani wa kutuajiri hata kwa sh. laki 2 kwa mwezi hawapo japo tumemaliza vyuo lakini sihitaji elimu yangu kuwa kikwazo cha mtu kuniajiri ili aogope kunilipa kutokana na elimu niliyonayo... cuz naitaji mtaji nipo tayari kupiga kazi halali hata ya mshahara wa laki 2 o 3 per month for me unatosha kuwa mtaji...!
Kijana usiwe wa kuhoji rahisi rahisi hivyo tena kwa kuhamaki kama tanzania yote una ifahamu mzee...wap unapata nyumba kwa hyo hela ..mkoa gan yaan
Milioni 30 atapataje? Wewe ni mwenyeji wa chanika?Njoo Chanika ununue heka kwa milioni kumi na tano upate milioni thelathini
Duuu. We jamaa unataka kufanya nn? Wazo lako unauza?Mimi sina hata kumi nasaka laki 5 tu.... ili kwa mwaka nitengeneze zaidi ya milioni 360... maana kwa siku sitegemei kupata chini ya 1.5M kwa biashara ninayotaka kuifanya, sema wakutukopesha pesa hawaonekani wa kutuajiri hata kwa sh. laki 2 kwa mwezi hawapo japo tumemaliza vyuo lakini sihitaji elimu yangu kuwa kikwazo cha mtu kuniajiri ili aogope kunilipa kutokana na elimu niliyonayo... cuz naitaji mtaji nipo tayari kupiga kazi halali hata ya mshahara wa laki 2 o 3 per month for me unatosha kuwa mtaji...!
Njoo tujilimie vitunguu ngw'anawane!
Ushauri wangu kwako ndugu ni kwamba mimi naona kilimo cha viazi mviringo kinalipa na ni kizuri sana kwa kuwa kinachukua maxmum ya miez 4 lakini kawaida ni miez 3 kuvuna, na kiazi kina mahitaji makubwa sana sokoni na kwa mtumiaji wa mwisho pia...Kwa milion 50 unaweza kupata zaid ya milion 800 ikiwa unafanya kilimo kama kinavyotakiwa...Utaanza na kukod shamba la hekali 40 ambayo itakugharimu sh 60,000 kwa kila heka...Mbegu mpya ya kiazi ambacho hakina mabonde ni sh 100,000 kwa hekal moja ...Utanunua mashine za kumwagilia ambazo kwa makadilio itakughalimu sh milion 3 maximum ....Utanunua mbolea ambayo kila heka utanunua mbolea ambayo itakugharimu sh mil 6 kwa hekali 40 zote ...Utaweka vijana wa kulima ambao utaelewana nao kwa mazungumzo ya kawaida ambayo inaweza kukugharimu sh 400,000 maximum kwa hekali zote 40 ..ukipiga hesabu kwa ujumla utakuwa umetumia sh milion16 tu katika hiyo 50 uliyonayo..Na kiazi kwa hii mbegu mpya unatoa gunia 80-100 kwenye hekali moja...Kiazi kama hiki kisichokuwa na mabonde kina mahitaji makubwa sana sokoni na kikishuka bei kinauzwa 80,000 kwa gunia dar es salaam...Ndugu ukipiga kwa mahesabu ya haraka haraka unaweza kuvuna gunia 3,200 katika shamba la hekali 40 kwa msingi wa shiling milion 16 tu kati ya milion 50 ulizo nazo ...Na kama utauza kipind cha bei ya chini ya sh 80,000 kwa gunia utakuwa umejipatia tsh 256,000,000 ...ukitoa gharama za usafirishaji kutoka shamba hadi masoko ya dar es salaam itapungua hapo kidogo lakini haita affect hiyo figure ..May be 240,000,000... Huo ndo ushauri wangu ndugu na nina uhakika kabisa kama ukitumia kias chote cha sh mil 50 bas utapata faida zaid ya hiyo ambayo inaweza kufikia hadi milion 800...
Wazo la kipuuzinunua coaster uanze biashara ya daladala na pesa zinazobaki wekeza katika kilimo...
50m/= ununue kiwanja halafu ujenge nyumba ya kupanga???? Labda kama unajenga banda la kukukama hiyo 50m umeipata ndani ya muda mfupi ukiwa huko ufaransa naona unayo fursa nzuri ukiwa hukoya kuwa miliomea.
au kama unaona unaweza fanya uwekezaji wa muda mrefu jenga nyumba pangisha kula pesa mdogo mdogo....
au baada ya ujenzi iuze kupitia madalali. kama wafanyavyo shirika la nyumba.
japo inaweza kuhitaji uongeze pesa kidogo
NB haya ni maoni yangu tu na sio sheria na nipo tayari kukosolewa kwa lengo la kujifunza zaidi.