Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

materials zenyewe ni zipi na ni kiwanda gani na ni wapi?
Ndg Nina laptop hp na window phone nipe laki tano nianze na huo mtaji.... Unanitosh sana, wewe chagua nikuuzie au niweke bond... Tuanzie hapo.... Kwanza
 
Shule ya bure/bila ada[emoji116]
_________________________

Milionea= Millionaire ~having millions of dollars in cash +assets

Bilionea= Billionaire ~ " billion " " " " + "

hata ukiwa na madafu yetu inatakiwa u- convert to USD then utaingia kwenye hizo rank, virtually sidhani km kuna billionaire Tanzania.
Lazima iwe USD 1 Million or Sterling Pound.
 
Kama uko nje ya Tz fanya biashara ambazo unaweza kuzifuatilia kwa ukaribu hata ukiwa nje kama:
1.Stock exchange
2.Fixed Deposit
3.Hati fungane
Na nyingine kama hizo
Kama upo hapa hapa waweza fanya biashara nyingi lakini hiyo itategemea sana
1.Exposure
2.Experience
3.Interests
4.Connection/Network
5.Location
Na kadhalika
 
Biashara hapana. Coaster utakuja kuniambia majanga.
Muhim jenga nyumba/nunua nyumba uipangishe. Kod uchukue 4 kwa mwezi, kwa mwaka? Miaka kumi imerudi.
Nipo tayar kukuelekeza. Tena million 35 unapata nyumba nzuri kabisa
 
Biashara hapana. Coaster utakuja kuniambia majanga.
Muhim jenga nyumba/nunua nyumba uipangishe. Kod uchukue 4 kwa mwezi, kwa mwaka? Miaka kumi imerudi.
Nipo tayar kukuelekeza. Tena million 35 unapata nyumba nzuri kabisa
wap unapata nyumba kwa hyo hela ..mkoa gan yaan
Mimi sina hata kumi nasaka laki 5 tu.... ili kwa mwaka nitengeneze zaidi ya milioni 360... maana kwa siku sitegemei kupata chini ya 1.5M kwa biashara ninayotaka kuifanya, sema wakutukopesha pesa hawaonekani wa kutuajiri hata kwa sh. laki 2 kwa mwezi hawapo japo tumemaliza vyuo lakini sihitaji elimu yangu kuwa kikwazo cha mtu kuniajiri ili aogope kunilipa kutokana na elimu niliyonayo... cuz naitaji mtaji nipo tayari kupiga kazi halali hata ya mshahara wa laki 2 o 3 per month for me unatosha kuwa mtaji...!
 
Mimi sina hata kumi nasaka laki 5 tu.... ili kwa mwaka nitengeneze zaidi ya milioni 360... maana kwa siku sitegemei kupata chini ya 1.5M kwa biashara ninayotaka kuifanya, sema wakutukopesha pesa hawaonekani wa kutuajiri hata kwa sh. laki 2 kwa mwezi hawapo japo tumemaliza vyuo lakini sihitaji elimu yangu kuwa kikwazo cha mtu kuniajiri ili aogope kunilipa kutokana na elimu niliyonayo... cuz naitaji mtaji nipo tayari kupiga kazi halali hata ya mshahara wa laki 2 o 3 per month for me unatosha kuwa mtaji...!
Duuu. We jamaa unataka kufanya nn? Wazo lako unauza?
 
Tiyari weye ni millionea mkuu. Kwani millionea ni mtu mwenye ngapi? Ukiwa na 2m tiyari weye ni millionea. Rudi nyumbani, alika watu waje kula X'mass watakuinua juu uwape lager za kutosha. Hata ukifa kwa BP watakukumbuka tu mkuu. Usiitese roho yako kwa kuanzisha biashara hapa tz ya viwanda. Makodi kibao na tra wanakufukuzia tangu utakapoingia JKNA na kukunusa ka uliyebeba gongo. Labda uanzishe biashara kwingine
 
being a millionaire is a process... not an overnight event... tuliza kichwa... jitambue ww ni mtu wa aina gani... soma vitabu vingi... ongeza maarifa... tafuta biashara inayokufaa then uifanye kwa moyo... one day utafikia malengo yako... sio leo wala kesho... lakin usikate tamaa... hata bahkresa alianza na kuuza barafu
 
Njoo tujilimie vitunguu ngw'anawane!

mkuu samahani, vitunguu unalima wapi... nahitaji mawazo kidogo kwenye hiki kilimo... nahitaji kujua aina ya ardhi ya kulimia vitunguu..na soko lake kiujumla limekaa. Nafikiria kuanza aina hii ya kilimo in mass production..
 
Ushauri wangu kwako ndugu ni kwamba mimi naona kilimo cha viazi mviringo kinalipa na ni kizuri sana kwa kuwa kinachukua maxmum ya miez 4 lakini kawaida ni miez 3 kuvuna, na kiazi kina mahitaji makubwa sana sokoni na kwa mtumiaji wa mwisho pia...Kwa milion 50 unaweza kupata zaid ya milion 800 ikiwa unafanya kilimo kama kinavyotakiwa...Utaanza na kukod shamba la hekali 40 ambayo itakugharimu sh 60,000 kwa kila heka...Mbegu mpya ya kiazi ambacho hakina mabonde ni sh 100,000 kwa hekal moja ...Utanunua mashine za kumwagilia ambazo kwa makadilio itakughalimu sh milion 3 maximum ....Utanunua mbolea ambayo kila heka utanunua mbolea ambayo itakugharimu sh mil 6 kwa hekali 40 zote ...Utaweka vijana wa kulima ambao utaelewana nao kwa mazungumzo ya kawaida ambayo inaweza kukugharimu sh 400,000 maximum kwa hekali zote 40 ..ukipiga hesabu kwa ujumla utakuwa umetumia sh milion16 tu katika hiyo 50 uliyonayo..Na kiazi kwa hii mbegu mpya unatoa gunia 80-100 kwenye hekali moja...Kiazi kama hiki kisichokuwa na mabonde kina mahitaji makubwa sana sokoni na kikishuka bei kinauzwa 80,000 kwa gunia dar es salaam...Ndugu ukipiga kwa mahesabu ya haraka haraka unaweza kuvuna gunia 3,200 katika shamba la hekali 40 kwa msingi wa shiling milion 16 tu kati ya milion 50 ulizo nazo ...Na kama utauza kipind cha bei ya chini ya sh 80,000 kwa gunia utakuwa umejipatia tsh 256,000,000 ...ukitoa gharama za usafirishaji kutoka shamba hadi masoko ya dar es salaam itapungua hapo kidogo lakini haita affect hiyo figure ..May be 240,000,000... Huo ndo ushauri wangu ndugu na nina uhakika kabisa kama ukitumia kias chote cha sh mil 50 bas utapata faida zaid ya hiyo ambayo inaweza kufikia hadi milion 800...

mkuu maeneo yapi yanapokodishwa hayo maeneo ambayo naweza lima viazi mviringo, na vipi kuhusu mbegu.. namaanisha naweza kuipata wapi?? msaada tafadhari mkuur
 
Kuna mashamba heka 2 yanauzwa huku arusha, yanafaa kwa kilimo cha umwagiliaji, yote jumla ni millioni 14. Maelezo zaidi 0766646019
 
kama hiyo 50m umeipata ndani ya muda mfupi ukiwa huko ufaransa naona unayo fursa nzuri ukiwa hukoya kuwa miliomea.

au kama unaona unaweza fanya uwekezaji wa muda mrefu jenga nyumba pangisha kula pesa mdogo mdogo....

au baada ya ujenzi iuze kupitia madalali. kama wafanyavyo shirika la nyumba.

japo inaweza kuhitaji uongeze pesa kidogo
NB haya ni maoni yangu tu na sio sheria na nipo tayari kukosolewa kwa lengo la kujifunza zaidi.
50m/= ununue kiwanja halafu ujenge nyumba ya kupanga???? Labda kama unajenga banda la kuku
 
Back
Top Bottom