asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,035
my dear, hongera sana na Inshaallah Mwenyezi Mungu akifanyie wepesi ktk kipindi chote cha ujauzito hadi kujifungua...ebu nipe maujanja na mie mwenzako nifanyeje maana nimetafuta mtoto na sijafanikiwa hadi leo!
Hongera sana mama kijachi ukishusha huyo akupe mwingine fasta
nimetabasam!!!!
hahahahaaa!!! unajua SUZANE lile zoezi si mchezo!
hataukiwa kimbau mbau lazima jasho likutiririke!
hongera sana dada, nakushai utumie family planning, una zoez gumu sana la kuwapa watoto wako basic needs especially elimu!!
kesho nikipata nafasi tutaongea kupitia PM............