Nimepata mpenzi mpya, nampatia pesa anaikataa, hivi ananipenda kweli?

Nimepata mpenzi mpya, nampatia pesa anaikataa, hivi ananipenda kweli?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Natumai mko salama,

Wiki iliyopita nilibahatika kukutana na binti ambaye kutokana na maono ya pendo langu, nahisi nimepata wa kuendana nae.

Siku ya Jumapili jioni nilimuomba tukutane somewhere. Tulijuliana hali, nikatoa kiasi cha Tsh.70 kwa ajili ya matumizi binafsi ya siku mbili tatu pamoja na kubadili kioo cha simu yake. Cha ajabu binti aliikataa pesa, aliikataa katu katu, nilijaribu kuisindikiza pesa kwenye kipochi chake lakini aliikataa pia. Alisema hana shida na pesa zangu.

Hivi huyu binti ana upendo wa dhati na mimi kweli? Au nifanye mambo mengine niache kupoteza muda, nisije funga wiki mbili nikaomba mbususu nikaishiwa kuzungushwa! Maake kuna mwanamke niliwahi kumsikia akisema "Siwezi chukua pesa ya mwanaume ambaye sijavutiwa naye, hata akiniomba tendo la ndoa siwezi mkubalia"
 
Hivi huyu binti ana upendo wa dhati na mimi kweli? Au nifanye mambo mengine niache kupoteza muda, nisije funga wiki mbili nikaomba mbususu nikaishiwa kuzungushwa! Maake kuna mwanamke niliwahi kumsikia akisema "Siwezi chukua pesa ya mwanaume ambaye sijavutiwa naye, hata akiniomba tendo la ndoa siwezi mkubalia"
Haya bhana katika safari yako ya kupata binti mwema ambaye hajawahi ku exist!
 
Natumai mko salama,
Wiki iliyopita nilibahatika kukutana na binti ambaye kutokana na maono ya pendo langu, nahisi nimepata wa kuendana nae.

Siku ya Jumapili jioni nilimuomba tukutane somewhere. Tulijuliana hali, nikatoa kiasi cha Tsh.70 kwa ajili ya matumizi binafsi ya siku mbili tatu pamoja na kubadili kioo cha simu yake. Cha ajabu binti aliikataa pesa, aliikataa katu katu, nilijaribu kuisindikiza pesa kwenye kipochi chake lakini aliikataa pia. Alisema hana shida na pesa zangu.

Hivi huyu binti ana upendo wa dhati na mimi kweli? Au nifanye mambo mengine niache kupoteza muda, nisije funga wiki mbili nikaomba mbususu nikaishiwa kuzungushwa! Maake kuna mwanamke niliwahi kumsikia akisema "Siwezi chukua pesa ya mwanaume ambaye sijavutiwa naye, hata akiniomba tendo la ndoa siwezi mkubalia"
Muombe n mbususu tuone itakuwaje, akikupa vyote itakua vzr
 
Sikia mwombe Mungu mwambie kama ni mwema abaki kama ni mmbaya asepe mbona simple kuna mawili mshahara wake unamtosha na hajazoea kulilia shida au anatengeneza uamimifu kwako halafu baadae akuombe kama ml 50 hivi utatoa tu halafu mwisho wa siku utalia mwenyewe so hatujui .
Moyoni mwake na usimuhisi mtu vibaya
 
Wapo mkuu
Kuna watu hawanashida na hela[emoji16]
 
Elfu 70..!!!??..huyo ni ana akili mingi,atakuja siku akulipue..hapo anakulia timing,anakujaza ujae...shtuka lakini usimuache,nenda naye kimachale
 
Hakupendi, kuna jamaa yangu alkuwa na malengo na binti fulani hiv na alikuwa na lengo la kumuoa. Kuna siku jamaa akampa tsh200k kama matumizi na yule binti akakataa kuipokea, mahudiano yao yaliishia hapo
 
Natumai mko salama,
Wiki iliyopita nilibahatika kukutana na binti ambaye kutokana na maono ya pendo langu, nahisi nimepata wa kuendana nae.

Siku ya Jumapili jioni nilimuomba tukutane somewhere. Tulijuliana hali, nikatoa kiasi cha Tsh.70 kwa ajili ya matumizi binafsi ya siku mbili tatu pamoja na kubadili kioo cha simu yake. Cha ajabu binti aliikataa pesa, aliikataa katu katu, nilijaribu kuisindikiza pesa kwenye kipochi chake lakini aliikataa pia. Alisema hana shida na pesa zangu.

Hivi huyu binti ana upendo wa dhati na mimi kweli? Au nifanye mambo mengine niache kupoteza muda, nisije funga wiki mbili nikaomba mbususu nikaishiwa kuzungushwa! Maake kuna mwanamke niliwahi kumsikia akisema "Siwezi chukua pesa ya mwanaume ambaye sijavutiwa naye, hata akiniomba tendo la ndoa siwezi mkubalia"

Mwanaume unahonga elfu 70 ndio maana amekataa tafuta hela wewe
 
Hapo naona kuna mambo mawili.....huenda huyo mwanamke anajua kuwa wanawake wengi wanapenda hela na wanaume wameshakalili hivyo so anakuja kivingine ili usimfananishe na wanawake wengi.....lkn IPO siku atakubomu Tu.......pili anaona kama umemchukulia poa yaan umeona Hana hela au VP


Lkn kwanini wanaume mnapenda kutanguliza hela Kwanza? Au hamjiamini? Ile ije baadae huko....kwanza tusimame Sisi kama sisi
 
Back
Top Bottom