Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
😂😂😂....mi Nani hadi nikubishie.....Kwa ubishi nakuvulia kofia aiseeMi nani hadi niiogope....inaliwa tu kama chuma kinavoliwa na kutu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂....mi Nani hadi nikubishie.....Kwa ubishi nakuvulia kofia aiseeMi nani hadi niiogope....inaliwa tu kama chuma kinavoliwa na kutu
Yupo anayempa Fedha nyingi zaidi yako na Kumkuna vilivyo kuliko umfanyavyo Wewe.Natumai mko salama,
Wiki iliyopita nilibahatika kukutana na binti ambaye kutokana na maono ya pendo langu, nahisi nimepata wa kuendana nae.
Mkuu demu kasema hajavutiwa nawe so hanunuliki huyo, tafta kurubembe moja la jf ukajipooze ugumuNatumai mko salama,
Wiki iliyopita nilibahatika kukutana na binti ambaye kutokana na maono ya pendo langu, nahisi nimepata wa kuendana nae.
Siku ya Jumapili jioni nilimuomba tukutane somewhere. Tulijuliana hali, nikatoa kiasi cha Tsh.70 kwa ajili ya matumizi binafsi ya siku mbili tatu pamoja na kubadili kioo cha simu yake. Cha ajabu binti aliikataa pesa, aliikataa katu katu, nilijaribu kuisindikiza pesa kwenye kipochi chake lakini aliikataa pia. Alisema hana shida na pesa zangu.
Hivi huyu binti ana upendo wa dhati na mimi kweli? Au nifanye mambo mengine niache kupoteza muda, nisije funga wiki mbili nikaomba mbususu nikaishiwa kuzungushwa! Maake kuna mwanamke niliwahi kumsikia akisema "Siwezi chukua pesa ya mwanaume ambaye sijavutiwa naye, hata akiniomba tendo la ndoa siwezi mkubalia"
Sasa nitajuaje kila mahala ulipo bila kuniambia?Nipo kitengo mywangu
Kablahujalogwaulijuakilanilipo
Ilibidi ahonge sh ngapi?Mwanaume unahonga elfu 70 ndio maana amekataa tafuta hela wewe
Zamani ulijua sehemu ntazoenda kablaSasa nitajuaje kila mahala ulipo bila kuniambia?
Huo ni mtego bro sh2ka
Piga chini, mkuu naiomba hiyo pesa hata nusu yake...
Naaaamukamwangilie moyo au sio?