Nimepata msiba wa baba yangu mdogo...

Pole sana ndugu,yeye alitoa na ametwaa jina lake litukuzwe ameen,mwenyez mungu akutie nguvu kwenye kipind hiki kigumu.
 
Pole. Mungu Aliye hai akudhihirishie pendo lake kwako wakati huu wa majonzi.
 
Pole sana tete, mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema.
 
ndugu yangu kazi ya Mungu haina makosa,be strong katika kipindi hiki na usilaumu maana yote ni matakwa yake.RIP mzee wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…