pole sana tete, nani kama mama?nakuombea safiri salama na mambo yote yaishe salama.pole tena🙁Wana jfs nimefiwa na mama yangu mzazi leo kcmc bado nipo dar nataraji kuondoka kesho kuelekea moshi naomben sala zenu ktk kipindi hiki kigumu
My number 0719354556
babukijana hiyo lol una maanisha nini!?pole sana tete,lol nani kama mama?nakuombea safiri salama na mambo yote yaishe salama.pole tena🙁
Wana jfs nimefiwa na mama yangu mzazi leo kcmc bado nipo dar nataraji kuondoka kesho kuelekea moshi naomben sala zenu ktk kipindi hiki kigumu
My number 0719354556
we mtu tuko msibani hapa acha maswali hayo,niulize hiyo kule kwenye jukwaa letu sahihibabukijana hiyo lol una maanisha nini!?
Pole sana ndugu yangu, matatizo wameumbiwa watu na ni lazima yawakute watu. Pole sana kwa kumpoteza mama yetu kipenzi.Wana jfs nimefiwa na mama yangu mzazi leo kcmc bado nipo dar nataraji kuondoka kesho kuelekea moshi naomben sala zenu ktk kipindi hiki kigumu
My number 0719354556
Ile lol ulioweka kule sisi ndio tukuulize, mwenzetu kafiwa wewe unamcheka.we mtu tuko msibani hapa acha maswali hayo,niulize hiyo kule kwenye jukwaa letu sahihi
asante sana mwalimu,nilitaka kuweka loh ya kusikitika,ikapitiliza,hata hivyo nadhani ulinielewa sikumaanisha kumcheka,asante tena kwa kunijulisha ukanumba wangu.Ile lol ulioweka kule sisi ndio tukuulize, mwenzetu kafiwa wewe unamcheka.
lol = laughing out loud
mkuu rekebisha hapa kabla waalimu hawajaingia kukutoa nishaiMkuu pole saana Mungu awape Nguvu katika hiki kipindi kigumu, inauma saana mtu unapondokewa na mzazi, Jina la bwaba lihimidiwe