Mkuu TETE-A-TETE,
Pole sana ndugu yangu!
Habari za kifo zisikie tu kwa jirani, lakini kwasasa najua how u feel, i have been in the like situation just two months ago!
Mungu akutangulie ndugu, Mungu wa Mbinguni ndiye atakayekufariji kikweli na kukufuta machozi!
Lakini zaidi, Shughuli hii na iende kwa usalama na kwa mipango iliyoandaliwa, huku BWANA akiwa ndiye kiongozi na msimamizi mkuu!
Farijika ndugu- JIPE MOYO MKUU!