[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli kabisa KakaUkiitafuta ndoa kwa lazima hivyo ndo mwisho utaishia kuchezewa kila siku, kumbuka kila kitu hutokea kwa wakati wake alivyopanga Mungu na si kwasababu tunataka, umri wako bado mdogo sana so tulia itakapofika wakati utampata ambae ni wako mtafunga ndoa, n b kama huna shughuli ya kufanya ungejikita zaidi kwenye kutafuta cha kufanya ili hata atakapopatikana muoaji tayari na wewe umejijenga maana wanaume wengi pia hawapendi magoli kipa na mwanaume anapokukuta una kipato chako pia inakuongezea thamani!!!!
ukimpata utulie basi dahMwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
mi nipo tayar ni-pmMwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Siku zote unapo hitaji mahusiano ya kudumu kwanza mtangulize mungu pia sema na moyo wako kuwa unahitaji mapenzi ya kweli na usijifananishe uzuri wako na kuwa na mwanaume mwenyekipato angali hana mapenzi ya kweli kwako mkubali yule unaeona anastahili kuwa mume sio maslahi mbele. Mwanaume bora ni yule anaekufanya uwe na furaha kila wakati na ni mkweli kwako usiangalie pesa wala ujana wa kwenda na wakatiMwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
ahaha..yani hauna imani na mwanaume yeyote alafu unatafuta ndoa?Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Una miaka 22 sasa na huja date na mwanaume miaka miwili sasa. So kwa maneno mengine mara ya mwisho kuwa ktk mahusiano ulikuwa na miaka 20. Unadai umeumizwa mara kibao kwenye mahusiano. Swali langu, 'ni lini ulianza mahusiano?!!Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
[emoji121]miaka 22 mbona bado your still young usiharakishe ndoa hivyoo jipe muda.
22 umekaa miaka miwili bila mahusiano so ukiwa na 20 ndo ulisitisha mahusiano. umedate ukiwa na umri mdogo ulikuwa hujui nini unataka na mpaka sasa hujui nini unataka.
jipe muda mdogo wangu changamoto za mahusiano bado hujaziona rangi yake halisi hizoo ulizo kutana nazo ni trailer tu.