pretyfety
Member
- Oct 29, 2018
- 41
- 25
- Thread starter
- #121
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli kabisa KakaUkiitafuta ndoa kwa lazima hivyo ndo mwisho utaishia kuchezewa kila siku, kumbuka kila kitu hutokea kwa wakati wake alivyopanga Mungu na si kwasababu tunataka, umri wako bado mdogo sana so tulia itakapofika wakati utampata ambae ni wako mtafunga ndoa, n b kama huna shughuli ya kufanya ungejikita zaidi kwenye kutafuta cha kufanya ili hata atakapopatikana muoaji tayari na wewe umejijenga maana wanaume wengi pia hawapendi magoli kipa na mwanaume anapokukuta una kipato chako pia inakuongezea thamani!!!!