Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
- Thread starter
- #21
Mwifwa....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Upo aiseee???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwifwa....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
usitishike bro kuna wengine wako real..Duh! Unanitisha mzaee
I agree! Ila nadhani wanaofake ndio 75% na hao real ni 25%Mh!
Siamini katika hilo
Hujakutana na watu real mkuu,hawa fake maisha,wenye malengo
Ila kwenye msafala wa mamba na kenge wamo huenda usemalo Lina ukweli 25%.ila ni kwa baadhi si wote
Hatari sanaaa! Duhyes bro...
kuna mmoja humu niliwasiliana nae akijifanya mwanamke... kumbe nilikonki babu
I think so there are some who are real. Halafu unajua hawa viumbe wakiwa na njaa pia inachangia, lakini ukipata rafiki good family and first class like this one inakuwa matatizo yanapunguausitishike bro kuna wengine wako real..
Oooppps! Ahsante sana cute b. Ahsante sanaWaoh!
Ride or die.
Hongera sana mkuu.
Ride or die?? Sisi wengine hatukwenda shule aiseee hebu funguka zaidiWaoh!
Ride or die.
Hongera sana mkuu.
how did u know she's first class family..?I think so there are some who are real. Halafu unajua hawa viumbe wakiwa na njaa pia inachangia, lakini ukipata rafiki good family and first class like this one inakuwa matatizo yanapungua
Hongera mkuu. Mitandao ya kijamii inachukuliwa vibaya ila marafiki wa kweli wapo pia huku. Ni jambo Jema kupata mtu unayeweza kushare nae
Best friends that you will ride ANY problems out with them or die trying.Ride or die?? Sisi wengine hatukwenda shule aiseee hebu funguka zaidi
Sisi tuliotoka familia ya walala hoi mbona tutakoma mwaka huu.I think so there are some who are real. Halafu unajua hawa viumbe wakiwa na njaa pia inachangia, lakini ukipata rafiki good family and first class like this one inakuwa matatizo yanapungua
You seem wise, anyway! I just feel that I have someone I can talk to and ask for ideas. Time will tell but the impression is positive.how did u know she's first class family..?
don't ever keep ur hopes that high.. get to know her in person ndo uwe sure... there are very good pretenders out there
[emoji3][emoji3]yes bro...
kuna mmoja humu niliwasiliana nae akijifanya mwanamke... kumbe nilikonki babu
Yaani kama urafiki unakuwa hivi naanzaje sasa kumuacha?? Hata kama group members wasipofanikiwa me namlipia mbona. Wait a second, she seems well financiallyVp ile safari ya Egypt utaenda nae?
Aiseee fanyeni hivyooooLove B. Ww si rafiki mwema,? Kama vp tuungane basi
just speaking out of experience that's all..You seem wise, anyway! I just feel that I have someone I can talk to and ask for ideas. Time will tell but the impression is positive.
Aaahhh jamaniiiii. Nyie tenaaaSisi tuliotoka familia ya walala hoi mbona tutakoma mwaka huu.
Teeeh kwaiyo wote na mkeo utawabeba?Yaani kama urafiki unakuwa hivi naanzaje sasa kumuacha?? Hata kama group members wasipofanikiwa me namlipia mbona. Wait a second, she seems well financially