Sisi tunapambanaga na hali zetu.Umeona eer!! Mwenyewe najitafakari hapa ina maana siwezi kuwa rafiki bora!!????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tunapambanaga na hali zetu.Umeona eer!! Mwenyewe najitafakari hapa ina maana siwezi kuwa rafiki bora!!????
Ni hali ya hewa tuu...mambo yatakaa sawa. Kuwa na imani.Sisi tunapambanaga na hali zetu.
Kwa kweli. Tujipe moyo kila kitu kitakuwa sawa.Ni hali ya hewa tuu...mambo yatakaa sawa. Kuwa na imani.
Nawapa miezi mitatuBado mzaee!
Na hatuna haraka maana we are friends na tunawasiliana tu fresh
Rafiki tu umefurahi namna hyo sasa ukipewa nyapu si utadata kabisa
Ila kuna changamoto sana hapa Jf kumpata rafik ambaye hamtofautiani sana kwenye age intervalKwa kweli. Tujipe moyo kila kitu kitakuwa sawa.
Hahahahaha mkuu urafiki hauna umri.Ila kuna changamoto sana hapa Jf kumpata rafik ambaye hamtofautiani sana kwenye age interval
Inategemea ni aina gani ya urafiki..Hahahahaha mkuu urafiki hauna umri.
Urafiki wa kawaida mkuu. Ambao hauna kujigi jigi.Inategemea ni aina gani ya urafiki..
Wahi nafasi ni chacheKweli bibie? Nisubmit CV yangu[emoji4]
Ila Mimi niko tofauti sana
The Amazoni Training College [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wahi nafasi ni chache
Nawapa miezi mitatu
Urafiki hua unakua....kutoka hatua 1 kwenda nyingine. Huo wa kawaida unaweza badilika pia finaly mnajigi jigiUrafiki wa kawaida mkuu. Ambao hauna kujigi jigi.
Sio rahisi kiasi hicho cute bee, yaani ni ngumu sana kwa mwanaume ku-maintain pure friendship.Urafiki wa kawaida mkuu. Ambao hauna kujigi jigi.
Urafiki hua unakua....kutoka hatua 1 kwenda nyingine. Huo wa kawaida unaweza badilika pia finaly mnajigi jigi
Hahahahaha . itakuwa kweli.Sio rahisi kiasi hicho cute bee, yaani ni ngumu sana kwa mwanaume ku-maintain pure friendship.
Yaan km ulijua nafasi zangu ni chache kama za eagle wings training college 😀😀😀The Amazoni Training College [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I'll be right there soonest.
Always eagle eyes screen deep down the sea[emoji28]Yaan km ulijua nafasi zangu ni chache kama za eagle wings training college 😀😀😀
Ni ngumu tu, binafsi ni heri nikampotezea mdada kuliko kuwa marafiki wakati najua kabisa nitaharibu. Just imagine upo na hubby wako then una-entertain urafiki na strangers, lazima uharibu tu.Hahahahaha . itakuwa kweli.
Sasa kwa nn nyie wanaume mnafeli kumentain urafiki?
Why not? Friends are made...!Hongera kwakweli...it feels good when strangers turn into a family! I hope to find one humu humu siku moja. (Hivi inawezekana kweli?) Nawaza kwa sauti hapa...