🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa ndio unakumbua ile debate ya "is education better than money?" 🤣🤣🤣🤣Matumaini hewa tu kuwa shule itatutoa
Sasa itabidi iwe is connection better than education ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa ndio unakumbua ile debate ya "is education better than money?" 🤣🤣🤣🤣Matumaini hewa tu kuwa shule itatutoa
Debate ys kichoko sana ile.😂😂😂 Kumbe walimu walikuwa wanatuinjoy tu mda ule🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa ndio unakumbua ile debate ya "is education better than money?" 🤣🤣🤣🤣
Wajinga sana hawa walimu....Debate ys kichoko sana ile.😂😂😂 Kumbe walimu walikuwa wanatuinjoy tu mda ule
Wengine shule zinawatoa/ wanabutua niamini mimi...basi hii dunia haiko fairMatumaini hewa tu kuwa shule itatutoa
Wakati tunakaribia kuhitimu degree basi tunakaa wenyewe tunaambizana mimi bila mils 3 kazi sifanyi 😁😁. Hizi ndoto Bwana.Matumaini hewa tu kuwa shule itatutoa
Eeh ila street ndio msema kweliWakati tunakaribia kuhitimu degree basi tunakaa wenyewe tunaambizana mimi bila mils 3 kazi sifanyi 😁😁. Hizi ndoto Bwana.
Wengine wakaishia kuwa wauza mashuka kama machinga baada ya chuo. Ukiwa wasoma kila kitu kwako possible
Umenikumbusha hii debate....nilikuwa napaza lisauti kabisa tukiulizwa hili swali " education is better than money" mammaae njoo kitaa sasa ujionee uhalisia wa dunia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa ndio unakumbua ile debate ya "is education better than money?" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa itabidi iwe is connection better than education ?
Dah nakubali hilo ila kwa hali ilivyo miaka hii inavunja sana moyo, waliofanikiwa kuingia kwenye chain ya pesa kupitia shule hawawezi amini.Wengine shule zinawatoa/ wanabutua niamini mimi...basi hii dunia haiko fair
Shule unatoboa kweli sio uongo ila sio shule jina iwe shule kweli. Kuna vyeti ukiweka mezani watu wanasema yes...huyu nshomile...he went to skul.Wengine shule zinawatoa/ wanabutua niamini mimi...basi hii dunia haiko fair
🤣🤣🤣🤣 Tumeumizwa kweli kweli na hi debate. Kwa kweli walimu wetu walikuwa myopicUmenikumbusha hii debate....nilikuwa napaza lisauti kabisa tukiulizwa hili swali " education is better than money" mammaae njoo kitaa sasa ujionee uhalisia wa dunia
Ila watu wanalogaa makazini we acha tuuDah nakubali hilo ila kwa hali ilivyo miaka hii inavunja sana moyo, waliofanikiwa kuingia kwenye chain ya pesa kupitia shule hawawezi amini.
Walimu wenyewe njaa kali...wanauza kashata na bagia mia mia afu wanakupigia kelele " education is better than money[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tumeumizwa kweli kweli na hi debate. Kwa kweli walimu wetu walikuwa myopic
Hii ndo comment bora kuliko zote...wazazi wapeleke watoto wao vyuo vya ufundi ili wsife na njaa, mtoto atajiendeleza mwenyewe huko mbele ya safari kama akitaka madegreeVijana nendeni veta au vyuo vya kiufundi wallah nakwambia unaweza usipate ajira ya kudumu Ila hautakaa ukose pesa ya Kula utakosa Leo Ila Kwa wiki utapata
Ila watu wanalogaa makazini we acha tu..
bwana wewe alafu wanataka vijana waheshimu elimu. kwa kweli sie waafrika tuna akili ndogo sana tena san tuu. bila kuwekeza kwenye science and technology hatuwezi fika mbali.Walimu wenyewe njaa kali...wanauza kashata na bagia mia mia afu wanakupigia kelele " education is better than money
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2957][emoji2957]
Mkuu ulitaka kumshauri nini nje ya mambo ya kazi?Au ulitaka kumwambia akianza kazi avizie na vimchepuko vya kugharamia nauli?Nauliza tu ndugu yanguMuwe mnaeleza basi na jinsia zenu wakati mnapo omba misaada, ikiwemo hii ya kimawazo. Mtu anaweza kutoa ushauri, akidhani wewe ni jinsia ya ke, kumbe ni me! Halafu ushauri ukaleta mtafaruku.
Kwa miaka 7 ni too much.Ajira yako ipo hapo Hapo Usikate tamaa Mkuu. Nina miaka 7 Toka nimalize DIPLOMA ya IT SUA ajira zangu zinaishiaga Interview
"education is better than money" . Mwalimu huyo. Halafu " haya haya hizi kashata ziishe deli Zima [emoji1][emoji23][emoji23]Walimu wenyewe njaa kali...wanauza kashata na bagia mia mia afu wanakupigia kelele " education is better than money
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2957][emoji2957]
Kuna jamaa yangu alijitolea kwenye kampuni miaka kibao wanakuja watu anawafundisha kazi baada muda wanaajiliwa yy Bado anapewa nauli kaona Bora aacheMwanzo mzuri saana ila makampuni na taasisi siku hizi.. usishangae kuona wanakutumia tuu na hawakupi chochote.. cha muhimu effort unayotakiwa kuiweka hapo ni kujipendekeza sanaa kwa watu yaan kazi yako iwe kusifia sana watu. Ukitumwa unaenda.. kuwa front kwenye chochote.. jitolee kwelkwel hata usafi sometime.
Ingekua ngozi nyeupe basi watathamin mchango wako. Kama ni ngozi nyeusi sahau hilo labda itokee muujiza.
Ila ni hatua nzuri kuliko kukaa bure home.. ila fahamu outcome kama nilivyokueleza.. sababu za ukosefu wa ajira basi mabosi na ofisi nyingi hutumia mwanya huo kunyanyasa na kutothamini mchango wa wanaojitolea makazini.