Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Leo nilikuwa nachat na wafanyabiashara mbalimbali na wanalalamika kuongezewa kodi.
Wanasema kodi imepanda kufidia shughuli zinazoendelea katika nchi.
Ebu naomba ukweli kwa nyie mnaofanya biashara kama kodi imeongezeka na watu wanakadiriwa kodi ambayo ni ngumu kuweza kulipa.
Mkumbuke kodi ikiwa kubwa zaidi inapelekea biashara kufungwa.
Naombeni ukweli wenu kuhusu ili.
Wanasema kodi imepanda kufidia shughuli zinazoendelea katika nchi.
Ebu naomba ukweli kwa nyie mnaofanya biashara kama kodi imeongezeka na watu wanakadiriwa kodi ambayo ni ngumu kuweza kulipa.
Mkumbuke kodi ikiwa kubwa zaidi inapelekea biashara kufungwa.
Naombeni ukweli wenu kuhusu ili.