Nimepata uvimbe sehemu ya haja kubwa. Napata maumivu makali nikitembea

Nimepata uvimbe sehemu ya haja kubwa. Napata maumivu makali nikitembea

Ndugu zanguni ni mara ya pili naingia kwenye huu uzi walau nione kama naweza pata tiba ambayo inaweza kunisaidia. Ni mara ya pili napatwa na ugonjwa huu mara ya kwanza docta hakunielezea ni ugonjwa gani bali alinipa dawa tu...
Tumia utomvu wa alovera uwe unapaka asubuhi 'na jioni litaisha
 
Pole sana, Jah akufanyie uponyaji na uweze kuwa sawa km zamani.
 
Mkuu tafuta mafuta ya mnyonyo au Habbat Soda uwe unajipaka hizo sehemu
 
Dawa mbalada za Bawasiri



Screenshot_20210531-134651.png


Screenshot_20210531-134712.png


Screenshot_20210531-134701.png
 
Ndugu zanguni ni mara ya pili naingia kwenye huu uzi walau nione kama naweza pata tiba ambayo inaweza kunisaidia. Ni mara ya pili napatwa na ugonjwa huu mara ya kwanza docta hakunielezea ni ugonjwa gani bali alinipa dawa tu....
Tafuta alovera kata lile jani Yale maji pakaa sehemu husika utasahau kabisa hiyo ndio dawa
 
Ndugu zanguni ni mara ya pili naingia kwenye huu uzi walau nione kama naweza pata tiba ambayo inaweza kunisaidia. Ni mara ya pili napatwa na ugonjwa huu mara ya kwanza docta hakunielezea ni ugonjwa gani bali alinipa dawa tu...
Pole sana ni ugonjwa wa aibu sana huo.
 
Ni kweli kabisa, tumia aloevera kama mdau alivyoshauri hapo juu. I am speaking from personal experience, wiki ilikuwa ni nyingi ukafutika kabisa
Alovera ni nini na inapatikana wapi jamani?
 
Ndugu zanguni ni mara ya pili naingia kwenye huu uzi walau nione kama naweza pata tiba ambayo inaweza kunisaidia. Ni mara ya pili napatwa na ugonjwa huu mara ya kwanza docta hakunielezea ni ugonjwa gani bali alinipa dawa tu.

Baada ya miez mitano yaani sasa umejirudia tena ndipo docta wa hospitali nyingine niliyokwenda akaniambia ni Bawasiri. Halikuwa neno geni sana kwangu kwa kuwa nishawahi kulisikia japo sikuwa najua bawasiri inafananaje. Kuna dawa alinipa docta ambayo nilikuwa napachika sehemu ya haja kubwa kwa sasa ni kama nina nafuu.

Huu ugonjwa kwakweli umenitisha sana maana unavimbisha sehemu ya haja kubwa na napata maumivu makali hasa wakati wa kutembea na wakati wa kwenda haja kubwa.

Kwa mara ya mwisho docta ameniambia km dawa itashindwa inabidi nifanyiwe operation ya kukata. Hapa alinichanganya zaidi akili yangu. Ombi langu kwenu wadau ni dawa gani ya asili yaweza tibu hii kitu maana akili kisaikolojia haipo sawa sasa. Naomba msaada wenu tafadhali
Upo mkoa gani nikutumie dawa bureeee ugharimie usafiri tu
 
Back
Top Bottom