Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 619
Tumia utomvu wa alovera uwe unapaka asubuhi 'na jioni litaishaNdugu zanguni ni mara ya pili naingia kwenye huu uzi walau nione kama naweza pata tiba ambayo inaweza kunisaidia. Ni mara ya pili napatwa na ugonjwa huu mara ya kwanza docta hakunielezea ni ugonjwa gani bali alinipa dawa tu...
Hicho kinyama kimefunika mnduku?[emoji848][emoji848]0712505049 tusaidiane naitaj hela unaitaj dawaView attachment 1780306
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshauri pia na maumivu take yatakuwaje!Kafanye operation....hiyo pile yako ishakomaa huwezi itibu na dawa za asili
Huo mziki wake sio wa kitoto[emoji848]Mshauri pia na maumivu take yatakuwaje!
Tafuta alovera kata lile jani Yale maji pakaa sehemu husika utasahau kabisa hiyo ndio dawaNdugu zanguni ni mara ya pili naingia kwenye huu uzi walau nione kama naweza pata tiba ambayo inaweza kunisaidia. Ni mara ya pili napatwa na ugonjwa huu mara ya kwanza docta hakunielezea ni ugonjwa gani bali alinipa dawa tu....
Pole sana ni ugonjwa wa aibu sana huo.Ndugu zanguni ni mara ya pili naingia kwenye huu uzi walau nione kama naweza pata tiba ambayo inaweza kunisaidia. Ni mara ya pili napatwa na ugonjwa huu mara ya kwanza docta hakunielezea ni ugonjwa gani bali alinipa dawa tu...
Alovera inapatikana wap maana sehem niliopo hakuna kabisaTafuta alovera kata lile jani Yale maji pakaa sehemu husika utasahau kbsa hiyo ndio dawa
Ni kweli kabisa, tumia aloevera kama mdau alivyoshauri hapo juu. I am speaking from personal experience, wiki ilikuwa ni nyingi ukafutika kabisaAlovera inapatikana wap maana sehem niliopo hakuna kabisa
Alovera ni nini na inapatikana wapi jamani?Ni kweli kabisa, tumia aloevera kama mdau alivyoshauri hapo juu. I am speaking from personal experience, wiki ilikuwa ni nyingi ukafutika kabisa
Uko sahihi pale Riverside kuna hospital ya wa Korea inaitwa Sun, wanatibu hilo tatizoKuna mtu namfahamu alitibiwa kwa dawa za mitishamba pale Riverside, nikipata namba zao nitaziweka hapa uende hapo!
Upo mkoa gani nikutumie dawa bureeee ugharimie usafiri tuNdugu zanguni ni mara ya pili naingia kwenye huu uzi walau nione kama naweza pata tiba ambayo inaweza kunisaidia. Ni mara ya pili napatwa na ugonjwa huu mara ya kwanza docta hakunielezea ni ugonjwa gani bali alinipa dawa tu.
Baada ya miez mitano yaani sasa umejirudia tena ndipo docta wa hospitali nyingine niliyokwenda akaniambia ni Bawasiri. Halikuwa neno geni sana kwangu kwa kuwa nishawahi kulisikia japo sikuwa najua bawasiri inafananaje. Kuna dawa alinipa docta ambayo nilikuwa napachika sehemu ya haja kubwa kwa sasa ni kama nina nafuu.
Huu ugonjwa kwakweli umenitisha sana maana unavimbisha sehemu ya haja kubwa na napata maumivu makali hasa wakati wa kutembea na wakati wa kwenda haja kubwa.
Kwa mara ya mwisho docta ameniambia km dawa itashindwa inabidi nifanyiwe operation ya kukata. Hapa alinichanganya zaidi akili yangu. Ombi langu kwenu wadau ni dawa gani ya asili yaweza tibu hii kitu maana akili kisaikolojia haipo sawa sasa. Naomba msaada wenu tafadhali