Nimepata uvimbe sehemu ya haja kubwa. Napata maumivu makali nikitembea

MziziMkavu
 
Wahanga tumieni virutubisho vifuatavyo NOVEL DEPILE CAPS na CONSTRELAX. Kwa maelezo zaidi piga 0620321041 au 0673758230
 
mkuu kwa dawa za hospitali hiyo kitu itazidi kukusumbua. mwishowe watasema haiwezekani dawa ni upasuaji. tumia dawa ya kienyeji kama hujapata ni pm hilo tatizo linakwisha kabisa. dawa yenyewe utachanganya na maji vuguvugu ukande.
Ukifanyiwa operation ina probability kubwa ya kurudi tena. Mimi niko na bawasiri for like 2 years now...kuna jamaa ig anajiita @dodoma_herbs mcheki atakusaidia. Nimetumia dawa zake (kupaka na kunywa) hapa sahv naendelea poa sana kinyama kinazidi kupungua na hii ni week ya 2 kuanzia nimetumia dawa na bado naendelea
 
Hizi dawa ndo naendelea kutumia...hii karibia week ya pili na kinyama kinazidi kuishia kabisa nashukuru Mungu.
Namba za jamaa ni 0764516995 au unaweza ukamcheki ig dodoma_herbs yuko Dar na Dodoma
 
Hizi dawa ndo naendelea kutumia...hii karibia week ya pili na kinyama kinazidi kuishia kabisa nashukuru Mungu.
Namba za jamaa ni 0764516995 au unaweza ukamcheki ig dodoma_herbs yuko Dar na DodomaView attachment 1985273
Sasa hivi nimepona kabisa, ule uvimbe umeisha yani. Japo dawa ya kupaka bado niko nayo haijaisha.
 
Mbona Mimi Nina bawasiri Zaidi ya mwaka na Sina Hata mpango wa kuitibu naona haina shida kbs maumivu sio Sana Kama ilivyokuwa inaanza
 
mkuu samahani hio bawasiri yako ilikua ya ndani au nje?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…