Nimepata vipele kwenye ulimi baada ya kuzama chumvini kwa mke wangu

Nimepata vipele kwenye ulimi baada ya kuzama chumvini kwa mke wangu

mkuu haya mambo ukitaka kifanya inatakiwa kwanza papuchi ifanyiwe usafi wa kiwango chaq lami, sasa mkeo ukute hakuoga tangia asubuhi na hata akikojoa anajifuta na tissue ulitegemea nini??
 
Wakuu kwema.? Hope mko salama.

Leo nmetimiza mwaka tangu nimeoa.mungu ametubariki mtoto mmoja na anaendelea vizuri

Nikiwa mwanaJF nimekutana na nyuzi nyingi zikiongelea suala la kuzama chumvini a.k.a kunyonya papuchi.

Sasa juz nikaona nitest na mimi kwa mke wangu nilimpa taarifa kuwa leo ntakufanyia surprise ambayo hujawah fanyiwa na mm tangu nmekuoa akajibu poa mme wangu nasubili.

Akili iliwaza ntapata wapi ujasiri wa kunyonya papuchi ukizingatia weng humu walidai kuna harufu mbaya wengne wakidai huwa wanatapika.

Nikaona nipite kwa mangi nikachukua kvant ya baridi nikajitupia.

Wakati wa mechi sikujua nilizama vipi chumvini (akili ya pombe hii)ila nina uhakika mdomo wangu niliushusha chini ya kitovu cha mwanamke.

Baada ya siku 4 kupita nimekuja kushtuka ulimi wangu una vidonda mbele kama mviringo ivi.sijamwambia wife

Kwa aliyewah kupata hili tatizo anifahamishe tiba tafadhali.

NIMEKOMA SIRUDII TENA
nimeambatanisha picha ya ulimi ulivyo sasahivi.

View attachment 1830852

Inaweza ikawa pia ni upungufu wa vitamin b12 au pia reaction ya kitu kingine . Mimi now nina ulimi kama wako since 2013 baada ya kupata upungufu wa vitamin hiyo na paka leo sina hilo tatizo tena ila ulimi ulibaki hivyo cha mhimu kapime full body kama uko salama its a normal thing au kama unatumia fegi na vilevi kuna saa unakuwa hvyo
 
Inaweza ikawa pia ni upungufu wa vitamin b12 au pia reaction ya kitu kingine . Mimi now nina ulimi kama wako since 2013 baada ya kupata upungufu wa vitamin hiyo na paka leo sina hilo tatizo tena ila ulimi ulibaki hivyo cha mhimu kapime full body kama uko salama its a normal thing au kama unatumia fegi na vilevi kuna saa unakuwa hvyo
Hakuna cha upungufu wa vitamini B12, hapo kakutana na genital warts kwahiyo akae kwa kutulia na next time asirudie kufanya vitu kwasababu kaambiwa na watu kua ni kutamu
 
Wakati mwingine umemchukua mrembo sana halafu umemuelewa vibaya sana. Mnaenda sehemu sehemu kunyanduana halafu anakwambia mimi sipendi ndom kwanza si enjoy pili nawashwa sana. Hahahahaha woga unakuingia lakkini unajipiga konde moyo. Hii ya kuweza kupima wenyewe papo kwa hapo BOMBA SANA.
Sasa we unakulaje pipi kwenye ganda lake lakini [emoji85]
 
Wakuu kwema.? Hope mko salama.

Leo nmetimiza mwaka tangu nimeoa.mungu ametubariki mtoto mmoja na anaendelea vizuri

Nikiwa mwanaJF nimekutana na nyuzi nyingi zikiongelea suala la kuzama chumvini a.k.a kunyonya papuchi.

Sasa juz nikaona nitest na mimi kwa mke wangu nilimpa taarifa kuwa leo ntakufanyia surprise ambayo hujawah fanyiwa na mm tangu nmekuoa akajibu poa mme wangu nasubili.

Akili iliwaza ntapata wapi ujasiri wa kunyonya papuchi ukizingatia weng humu walidai kuna harufu mbaya wengne wakidai huwa wanatapika.

Nikaona nipite kwa mangi nikachukua kvant ya baridi nikajitupia.

Wakati wa mechi sikujua nilizama vipi chumvini (akili ya pombe hii)ila nina uhakika mdomo wangu niliushusha chini ya kitovu cha mwanamke.

Baada ya siku 4 kupita nimekuja kushtuka ulimi wangu una vidonda mbele kama mviringo ivi.sijamwambia wife

Kwa aliyewah kupata hili tatizo anifahamishe tiba tafadhali.

NIMEKOMA SIRUDII TENA
nimeambatanisha picha ya ulimi ulivyo sasahivi.

View attachment 1830852
Hata mimi huyo mkeo alinisababishia hilo tatizo!!

Tujichange tumpeleke hospitali mkuu.
 
Wakuu kwema.? Hope mko salama.

Leo nmetimiza mwaka tangu nimeoa.mungu ametubariki mtoto mmoja na anaendelea vizuri

Nikiwa mwanaJF nimekutana na nyuzi nyingi zikiongelea suala la kuzama chumvini a.k.a kunyonya papuchi.

Sasa juz nikaona nitest na mimi kwa mke wangu nilimpa taarifa kuwa leo ntakufanyia surprise ambayo hujawah fanyiwa na mm tangu nmekuoa akajibu poa mme wangu nasubili.

Akili iliwaza ntapata wapi ujasiri wa kunyonya papuchi ukizingatia weng humu walidai kuna harufu mbaya wengne wakidai huwa wanatapika.

Nikaona nipite kwa mangi nikachukua kvant ya baridi nikajitupia.

Wakati wa mechi sikujua nilizama vipi chumvini (akili ya pombe hii)ila nina uhakika mdomo wangu niliushusha chini ya kitovu cha mwanamke.

Baada ya siku 4 kupita nimekuja kushtuka ulimi wangu una vidonda mbele kama mviringo ivi.sijamwambia wife

Kwa aliyewah kupata hili tatizo anifahamishe tiba tafadhali.

NIMEKOMA SIRUDII TENA
nimeambatanisha picha ya ulimi ulivyo sasahivi.

View attachment 1830852
Sawa, Kanyonye tena
 
Back
Top Bottom