Nimepata vipele kwenye ulimi baada ya kuzama chumvini kwa mke wangu

mkuu haya mambo ukitaka kifanya inatakiwa kwanza papuchi ifanyiwe usafi wa kiwango chaq lami, sasa mkeo ukute hakuoga tangia asubuhi na hata akikojoa anajifuta na tissue ulitegemea nini??
 

Inaweza ikawa pia ni upungufu wa vitamin b12 au pia reaction ya kitu kingine . Mimi now nina ulimi kama wako since 2013 baada ya kupata upungufu wa vitamin hiyo na paka leo sina hilo tatizo tena ila ulimi ulibaki hivyo cha mhimu kapime full body kama uko salama its a normal thing au kama unatumia fegi na vilevi kuna saa unakuwa hvyo
 
Hakuna cha upungufu wa vitamini B12, hapo kakutana na genital warts kwahiyo akae kwa kutulia na next time asirudie kufanya vitu kwasababu kaambiwa na watu kua ni kutamu
 
Sasa we unakulaje pipi kwenye ganda lake lakini [emoji85]
 
Hata mimi huyo mkeo alinisababishia hilo tatizo!!

Tujichange tumpeleke hospitali mkuu.
 
Sawa, Kanyonye tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…