Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,811
- 623
Nakusubiri mkuu, nitashukuru ukifanya kitu ili kunisaidia
Raelish Nilisema nitarudi nilijipa muda kutafuta njia za kuweza kutatua tatizo lako.
kuna taasisi moja inaitwa micco ilikua inatoa msaada kusomesha watu wasio na uwezo, mayatima nk.
nimefuatilia pale ilipokua ofisi yao kwa sasa hawapo tena kwa sasa wamehama na wapangaji wapya niliowakuta ktk ile ofisi hawajui wapi hao micco walipohamia.
naendelea kutafuta taarifa zaidi pamoja na njia zinazoweza kukusaidia halafu nitakujuza.
Last edited by a moderator: