MIKI FOOD PRODUCTS SUPPLI
New Member
- Jan 16, 2025
- 1
- 2
Habari wana jamii
Kwa jina naitwa Juma Issa Mikidadi, ni kijana mwenye shahuku ya maendeleo . Nimepata wazo la kufanya biashara ya mazao ya chakula yaan mchele, maharage , mahindi na unga. Eneo ni Mtwara .
MALENGO:
1:Nitakuwa naenda kununua moja kwa moja kwa wakulima au kwenye masoko ya jumla
2:Nitafungua stoo ambapo nitakuwa nauza either kwa jumla au rejareja.
3:nitakuwa nafanya online business kwa wale wateja ambao wapo mtandaoni na wanawish kuweka oda na kufanyiwa deliverly ndani ya Mtwara mjini.
4:Nitafanya direct sales kwa kupita kwenye maduka na kuwatangazia bidhaa zangu .
5.Nitafanya credit sales kwa wateja wa uhakika mfano wa super market, min market, hotels and restaurant.
6:Nitafaya free deliverly ndani ya wilaya kwa wateja kutokana na mzigo utakaochukua.
7:Nitafungua website, na social networks pages and accounts kwa ajiri ya matangazo ya biashara.
8:nitakuwa nachunguza fursa zilizopo kwa wakulima kipindi nanunua mazao mfano kam kuna soko la mbolea na mbegu basi nitawaletea na kuwauzia.
MAOMBI KWA WANAJAMII
1:Kama kun chochote unaweza nishaurii naweza kufanya ili kupata faida juu ya biashara hii
2:Changamoto zozote ambazo zipo kwenye biashara hii
3:sehemu ambazo naweza pata mazao hayo kwa bei rahisi au kama una mtu unamjua anauza kwa jumla
4:Sehemu zipi kwa songea naweza pata maharage , mahindi,na mchele kwa bei rahisi
5:Wapi naweza pata usafiri na gharama za kusafirisha mzigo kutoka songea hadi Mtwara
Asanteni
Kwa jina naitwa Juma Issa Mikidadi, ni kijana mwenye shahuku ya maendeleo . Nimepata wazo la kufanya biashara ya mazao ya chakula yaan mchele, maharage , mahindi na unga. Eneo ni Mtwara .
MALENGO:
1:Nitakuwa naenda kununua moja kwa moja kwa wakulima au kwenye masoko ya jumla
2:Nitafungua stoo ambapo nitakuwa nauza either kwa jumla au rejareja.
3:nitakuwa nafanya online business kwa wale wateja ambao wapo mtandaoni na wanawish kuweka oda na kufanyiwa deliverly ndani ya Mtwara mjini.
4:Nitafanya direct sales kwa kupita kwenye maduka na kuwatangazia bidhaa zangu .
5.Nitafanya credit sales kwa wateja wa uhakika mfano wa super market, min market, hotels and restaurant.
6:Nitafaya free deliverly ndani ya wilaya kwa wateja kutokana na mzigo utakaochukua.
7:Nitafungua website, na social networks pages and accounts kwa ajiri ya matangazo ya biashara.
8:nitakuwa nachunguza fursa zilizopo kwa wakulima kipindi nanunua mazao mfano kam kuna soko la mbolea na mbegu basi nitawaletea na kuwauzia.
MAOMBI KWA WANAJAMII
1:Kama kun chochote unaweza nishaurii naweza kufanya ili kupata faida juu ya biashara hii
2:Changamoto zozote ambazo zipo kwenye biashara hii
3:sehemu ambazo naweza pata mazao hayo kwa bei rahisi au kama una mtu unamjua anauza kwa jumla
4:Sehemu zipi kwa songea naweza pata maharage , mahindi,na mchele kwa bei rahisi
5:Wapi naweza pata usafiri na gharama za kusafirisha mzigo kutoka songea hadi Mtwara
Asanteni